Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia ndiye mnamtegemea kama vile ana hayo madaraka! Ila uzuri mashamba yatabaki hapo milele!Who is Tulia wewe nyumbu? Rais ndio mwenye Uamzi.Kama Mbarali wameghairi hata hapo Mbeya ajenda zetu za Uchaguzi wahamishe Chuo na JKT Waende Nje ya Mji huko Jiji lichukue maeneo yapangwe hata Kwa Kulipa fidia hizo taasisi Kwa sababu watauza viwanja na pesa itarudi.
Hawamtegemei tulia hata chembe ndiyo maana kilio chao wameelekeza kwa Mheshimiwa Waziri mkuu na Mheshimiwa RaisTulia ndiye mnamtegemea kama vile ana hayo madaraka! Ila uzuri mashamba yatabaki hapo milele!
Ungekuwa hustler wala usingemlilia Samia ungejitosa tu kutafuta lakini kwa kuwa mtegemezi lazima ulie!Watu wanaoishi kwa mama zao wakisubiri wazazi wafe warithi nyumba wanafurahia mahustlers wa maisha wakiwa wanaumizwa. Tafuta yako hiyo itakubomokea utupe shida kukuzika.
Hana madaraka ila ana connection na ndio Sauti ya Mbeya Kwa SasaTulia ndiye mnamtegemea kama vile ana hayo madaraka! Ila uzuri mashamba yatabaki hapo milele!
Utajulia wapi kutafuta wewe msubiri nyumba za urithi? Hujui hata bei ya kiberiti.Ungekuwa hustler wala usingemlilia Samia ungejitosa tu kutafuta lakini kwa kuwa mtegemezi lazima ulie!
Tangu lini chawa akawa sauti ya Mbeya, Tulia ni mfuata nyayo na kupiga vigelegele!Hana madaraka ila ana connection na ndio Sauti ya Mbeya Kwa Sasa
Kwanza sina eneo hapo mimi ila nawahurumia wale wajane wazee waliojenga wanalea wajukuu, wewe kwa sababu mtoto wa mama kula kulala huwezi elewa kubwa jinga weweUngekuwa hustler wala usingemlilia Samia ungejitosa tu kutafuta lakini kwa kuwa mtegemezi lazima ulie!
Huna lo lote wewe ungekuwa na uelewa usingekuja hapa kutoa kilio!Kwanza sina eneo hapo mimi ila nawahurumia wale wajane wazee waliojenga wanalea wajukuu, wewe kwa sababu mtoto wa mama kula kulala huwezi elewa kubwa jinga wewe
😀😀😀wewe jamaa una manung'uniko sana,serikali ina sababu za msingi sana kuanzisha jeshi katikati ya mji halafu hapo siyo kambi ya jeshi,kambi kuu ni ile ya JKT ITENDE,hapo uyole ni kituo cha matengenezo!kama ilishindikana kulihamisha jeshi JKT ITENDE katikati ya mji itawezekana kuitoa SUMA JKT hapo Uyole?!Who is Tulia wewe nyumbu? Rais ndio mwenye Uamzi.Kama Mbarali wameghairi hata hapo Mbeya ajenda zetu za Uchaguzi wahamishe Chuo na JKT Waende Nje ya Mji huko Jiji lichukue maeneo yapangwe hata Kwa Kulipa fidia hizo taasisi Kwa sababu watauza viwanja na pesa itarudi.
Wewe ndiyo huna hilo lolote kabisa mpaka utoke kwenu.Huna lo lote wewe ungekuwa na uelewa usingekuja hapa kutoa kilio!
Wahame na waondoke hapo.Hujui kitu ila unatetea tuu upuuzi.😀😀😀wewe jamaa una manung'uniko sana,serikali ina sababu za msingi sana kuanzisha jeshi katikati ya mji halafu hapo siyo kambi ya jeshi,kambi kuu ni ile ya JKT ITENDE,hapo uyole ni kituo cha matengenezo!kama ilishindikana kulihamisha jeshi JKT ITENDE katikati ya mji itawezekana kuitoa SUMA JKT hapo Uyole?!
Serikali inawaza mbali kuliko matamanio yako mkuu😁
Umenichekesha sana😂😂😂😂Ngoja Makonda atamgombeza!!