900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
endeleeni kumjaza upepo chura kiziwi hataaminiEndeleeni kuweweseka tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
endeleeni kumjaza upepo chura kiziwi hataaminiEndeleeni kuweweseka tu
sasa unateseka nini juu yake ana haki kikatiba,japo uvccm hamuijui katiba mmezoea vya kunyongaKamwe na katu lissu hawezi kuwa Rais wa Nchi hii wala hana uwezo wa kushindana na Rais Samia katika sandtla kura. Lissu hata zikipigwa kura ndani ya CHADEMA juu ya nani agombee Urais bado lissu hawezi kumshinda Mheshimiwa Mbowe.Lissu ni mropokaji,mwenye mihemuko,hana kifua cha uongozi wala hawezi kamwe kuwa Amiri Jeshi Mkuu.hata angekuwa ndani ya CCM hawezi kupewa nafasi ya kugombea urais
Chura kiziwiHaya Mama yetu Alietulia tumpe jina gani?
mbona atakuwa na majina mengi sasa RITA walitizame hiloHaya Mama yetu Alietulia tumpe jina gani?
Cheo,,Mamlaka/Madaraka,,Pesa.Yani Mh kila mtu nchi hii anamuona kama mwanae.
Kazaliwa 1960, Lissu 1968, ni mwanae kivipi?
Uwe na adabu kwa Mheshimiwa Rais..hata hivyo ni kuwa Rais Samia hana wa kumzuia wala kumkwamisha wala kumpa usumbufu katika uchaguzi wa hapo mwakaniendeleeni kumjaza upepo chura kiziwi hataamini
Jecha hajafa maadam Tume ilipakwa rangi na kuongeza NENO 'HURU' lakini uozo kwa ndani ni uleule.Mambo yenu yepi ilhali Jecha hayuko?
Hata ije Tume ya uchaguzi kutoka Marekani bado CCM itapita na kushinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzimaJecha hajafa maadam Tume ilipakwa rangi na kuongeza NENO 'HURU' lakini uozo kwa ndani ni uleule.
Mwanaume utatuliaje ikiwa Bwana amekupa maono na maagizo juu ya Tanzania na watanzania Yeremia 47:7Simba hatulii kama mwanangu Lissu [emoji1787][emoji1787]
Lissu utulivu ni "sifuri"...
Je ana tatizo la afya akili ?!!!
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wewe Kijana nenda shule , mark my word HAUTOBOI NA HUU UCHAWA. Nyakati zinabadilika wasomi watakuja kukaa sehemu zao very soon . NENDA shule , you have lots of potential, kwanini unachagua utumwa while your mama Amekuzaa ukiwa huru?Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Samia Suluhu Hasssan ni mwanasayansi wa sayansi ya siasa kiasili.
Ni kiongozi anayeijuwa vyema sana sayansi ya siasa.ni kiongozi ambaye anajuwa kucheza na lugha na maneno Utafikiri magwiji na mafundi ya mpira aina ya christian Ronaldo,Lionel Messi ,Ronaldinyo ,Pele ,JJ OKocha walivyokuwa wanajuwa kuuchezea mpira mpaka mpira wenyewe unatulia katika miguu yao kwa heshima na adabu na kutoa salute .
Sasa hapo jana baada ya Rais Huyu nguli na jabali wa siasa kutamka kuwa Simba aliyekuwa anaruka ruka na kushindwa kutulia utafikiri karatasi inayopulizwa na upepo apewe jina la Lissu ,wafuasi kiduchu wa Lissu wakaanza kuvimba vichwa Utafikiri wameng'atwa na nyigu au nyuki Juani. Kuwa RAIS Samia anamuwaza sana Lissu na kumuogopa kuelekea uchaguzi Mkuu hapo Mwakani.
Wengine wakafikia hatua hadi ya kuanza eti kutoa tafsiri zao kuhusu Simba na maana yake kibiblia ilimradi tu wapooze na kupata faraja ya kujifariji hasa baada ya kujuwa kuwa Lissu kwa kiasi kikubwa hakubaliki kwa watanzania wala kuungwa mkono.
Hii ni kutokana na tabia yake ya uropokaji,mihemuko na lugha zake mbaya na zenye kuchocheo ubaguzi katika Taifa letu. Lakini kubwa zaidi ni kukosa kwake adabu kama ambavyo tulishuhudia akitukana viongozi wetu wengi sana wenye heshima katika Taifa letu akiwepo Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere aliyetukanwa kwa mdomo huohuo wa Lissu ambao umekuwa na maneno ya ukigeugeu kama kinyonga.
Na hapa mnaweza pia kukumbuka namna pia alivyomdhalilishaga Hayati Edward lowassa kabla ya kuja CHADEMA na kugombea Uraisi .
Sasa Rais wetu amesema kuwa Simba yule alisema apewe jina la Lissu kwa sababu aliona Simba yule hajatulia hata kidogo.kama ambavyo Mliona simba yule alikuwa anaruka ruka na hajatulia.
Soma Pia:Rais Samia atoa maagizo ya Simba dume wa Kizimkazi kupewa jina la Tundu Lissu
Nami Mwashambwa namuunga kabisa mkono Rais kuwa Lissu hajatulia kabisa na ndio maana anakosa Busara na hekima hata katika kuzungumza kwake ,maana utulivu wa mtu ukiwa mzuri inapelekea hata kauli na maneno yake kujaa kwa hekima na Busara.lakini mtu ambaye hajatulia aina ya Lissu ndio sababu huona akitoa neno lolote linalomjia mdomoni pake bila hata kulichuja wala kufikiria Kabla ya kulitoa.
Mwisho ni kuwa kamwe na katu Lissu hawezi kupata kura hata nusu tu ya kura za Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan mgombea Urais wa CCM hapo Mwakani.kamwe lisuu hawezi kuwa Rais wa Taifa hili hata kama angekuwa ndani ya CCM hawezi kupewa nafasi ya kugombea Uraisi.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mtashinda kama mlivomuibia edo na Kutaka kumuua lisu. Kijana kama wewe najiuliza utawaachia nini watoto zako kwa akili za kichawaHata ije Tume ya uchaguzi kutoka Marekani bado CCM itapita na kushinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima
Kwa akili mgando kama za huyu chawa hata uwezo wa kutia mimba hana huyu labda akakamuliwe mbegu kama mwenzake nyamitako.Mtashinda kama mlivomuibia edo na Kutaka kumuua lisu. Kijana kama wewe najiuliza utawaachia nini watoto zako kwa akili za kichawa
Mimi siyo chawa ndugu yangu mtanzania.Kuhusu shule nilishapiga na kumaliza madarasa yote unayoyafahamu wewe mpaka juu kabisa huko wanakofika wachache.Wewe Kijana nenda shule , mark my word HAUTOBOI NA HUU UCHAWA. Nyakati zinabadilika wasomi watakuja kukaa sehemu zao very soon . NENDA shule , you have lots of potential, kwanini unachagua utumwa while your mama Amekuzaa ukiwa huru?
Unakuwaje chawa kwa binadamu ambae huenda ukamzidi hata maarifa, acha uluza na uchawa usiokuwa na tija, nenda shule
Acha ujinga wako dogoCCM nyi ni wajinga sn, hii nayo ni taarifa?
Nione umeleta ujinga wako tena nitakushughulikiaAcha ujinga wako dogo
Basi ulienda kusomea ujinga na uchawa, hasara kwa wazazi wako bora wangekuacha tu uendeleze fani ya ukoo wenu ya ulozi.Mimi siyo chama ndugu yangu mtanzania.Kuhusu shule nilishapiga na kumaliza madarasa yote unayoyafahamu wewe mpaka juu kabisa huko wanakofika wachache.
Ukishajifukiza moshi kichwani mwako unajiona umekuwa Tyson.Nione umeleta ujinga wako tena nitakushughulikia