Rais Samia: Simba alikuwa hatulii kama ‘Mwanangu Lissu’, ndio maana nikasema apewe jina hilo

Tusiende mbali mimi na wewe nani anazomewa na kuzodolewa hapa jukwaani? Au huna akili ile kufuatilia mada zako zinapokelewaje humu.
Hivi hufahamu ya kuwa wafu humu jukwaani wanafahamu wazi kuwa kichwani mwako kuna matatizo? Au na wewe unajiona ni mzima kichwani?😃😃
 
Hivi hufahamu ya kuwa wafu humu jukwaani wanafahamu wazi kuwa kichwani mwako kuna matatizo? Au na wewe unajiona ni mzima kichwani?😃😃
Hayo unawaza wewe kwa vile ni hamnazo, ushahidi upo hebu pitia nyuzi zako nne halafu uhesabu mawe uliyopigwa. Lucas huna akili
 
Mimi siyo chawa ndugu yangu mtanzania.Kuhusu shule nilishapiga na kumaliza madarasa yote unayoyafahamu wewe mpaka juu kabisa huko wanakofika wachache.
Mtu mwenye elimu ya juu lau form 6 tu hawezi kubehave Kama wewe . HUJASOMA, na kama umesoma I bet umesoma zile shule fika gorofa ya tatu. You are not smart at all . Very poor mental strength and reasoning capacity
Ngoja nitafute matokeo yako ya NECTA niyalete hapa

I bet wewe ni failure

Shame
 
Lucas tuletee uzi wa kiingereza mkuu hadi wazungu wajue unachoondika, mama ni mwana diplomasia

Propaganda zako zikue zifike ulimwengu wa pili
 
Alitaka Atulie ampe jina la Kondoo!! 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…