Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 590
- 1,648
Hakuna la maana ila anapenda machawaMaazimio ya majadiliano ni nini?hizi ngonjera tumechoka kuzisikia
Hapa Mama katupiga kamba,Mzee Makamba mbona alikuwa anawakoromea waandishi wa habari baada ya kuhoji masuala ya umeme au yule ni mwanachama wa chama cha CHAUMA cha Hashimu Rungwe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Rais Samia amesema kwakuwa CCM ndiyo waliyoweka serikali basi wakosolewe.
Asema anaamini akikosolewa anaoneshwa changamoto ilipo na akiifanyia kazi changamoto ile watu wakamuamini ataendelea kubaki.
Na kutokana na hilo haviiti vyama vingine kama vyama vya upanzani bali vyama vya kumuonesha changamoto ilipo.
Wadau mnasemaje?
Kweli tupuRais Samia amesema kwakuwa CCM ndiyo waliyoweka serikali basi wakosolewe.
Asema anaamini akikosolewa anaoneshwa changamoto ilipo na akiifanyia kazi changamoto ile watu wakamuamini ataendelea kubaki.
Na kutokana na hilo haviiti vyama vingine kama vyama vya upanzani bali vyama vya kumuonesha changamoto ilipo.
Wadau mnasemaje?
Mh watu walihoji tu kuhusu mabehewa na vichwa vyake hata kaz wakapigwa chini!!!Rais Samia amesema kwakuwa CCM ndiyo waliyoweka serikali basi wakosolewe.
Asema anaamini akikosolewa anaoneshwa changamoto ilipo na akiifanyia kazi changamoto ile watu wakamuamini ataendelea kubaki.
Na kutokana na hilo haviiti vyama vingine kama vyama vya upanzani bali vyama vya kumuonesha changamoto ilipo.
Wadau mnasemaje?
Ila Mungu fundi sana.Jiwe kiongozi wa malaika huko aliko anatamani ashushwe ata dakika 10 atunyooshe. Sileti maji na umeme ukinichagulia wapinzani.
Piga risasi watu hao
Makamba ye ni chawaHapa Mama katupiga kamba,Mzee Makamba mbona alikuwa anawakoromea waandishi wa habari baada ya kuhoji masuala ya umeme au yule ni mwanachama wa chama cha CHAUMA cha Hashimu Rungwe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimebaki mdomo wazi kusikia Mh. Rais anatamka neno "chawa".Hakuna la maana ila anapenda machawa
Kwa maneno au kwa vitendo ?! Je na vijana wao wanaelewa hivyo alivyosema Mwenyekiti wao !!Rais Samia amesema kwakuwa CCM ndiyo waliyoweka serikali basi wakosolewe.
Asema anaamini akikosolewa anaoneshwa changamoto ilipo na akiifanyia kazi changamoto ile watu wakamuamini ataendelea kubaki.
Na kutokana na hilo haviiti vyama vingine kama vyama vya upanzani bali vyama vya kumuonesha changamoto ilipo.
CC: Meneja TRC, Gerald Hando
Wadau mnasemaje?
Na Kongwa je ??Wanaohoji kuhusu mikopo mnawasimamisha kazi au kuwapa onyo kweli mnaamini kwenye kukosolewa
Maazimio ya majadiliano ni nini?hizi ngonjera tumechoka kuzisikia
Ruhusa unatoa kwa kitu chako, kitu ambacho kukitoa ni hisani yako.Rais Samia amesema kwakuwa CCM ndiyo waliyoweka serikali basi wakosolewe.
Asema anaamini akikosolewa anaoneshwa changamoto ilipo na akiifanyia kazi changamoto ile watu wakamuamini ataendelea kubaki.
Na kutokana na hilo haviiti vyama vingine kama vyama vya upanzani bali vyama vya kumuonesha changamoto ilipo.
CC: Meneja TRC, Gerald Hando
Wadau mnasemaje?
Tangu lini wameamini hivyo?Rais Samia amesema kwakuwa CCM ndiyo waliyoweka serikali basi wakosolewe.
Asema anaamini akikosolewa anaoneshwa changamoto ilipo na akiifanyia kazi changamoto ile watu wakamuamini ataendelea kubaki.
Na kutokana na hilo haviiti vyama vingine kama vyama vya upanzani bali vyama vya kumuonesha changamoto ilipo.
CC: Meneja TRC, Gerald Hando
Wadau mnasemaje?