Rais Samia: Sisi ndani ya CCM tunaamini kwenye kukosolewa na kujikosoa

Rais Samia: Sisi ndani ya CCM tunaamini kwenye kukosolewa na kujikosoa

Rare Sapphire

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2021
Posts
590
Reaction score
1,648
Rais Samia amesema kwakuwa CCM ndiyo waliyoweka serikali basi wakosolewe.

Asema anaamini akikosolewa anaoneshwa changamoto ilipo na akiifanyia kazi changamoto ile watu wakamuamini ataendelea kubaki.

Na kutokana na hilo haviiti vyama vingine kama vyama vya upanzani bali vyama vya kumuonesha changamoto ilipo.

CC: Meneja TRC, Gerald Hando

Wadau mnasemaje?
 
Maazimio ya majadiliano ni nini?hizi ngonjera tumechoka kuzisikia
 
Rais Samia amesema kwakuwa CCM ndiyo waliyoweka serikali basi wakosolewe.

Asema anaamini akikosolewa anaoneshwa changamoto ilipo na akiifanyia kazi changamoto ile watu wakamuamini ataendelea kubaki.

Na kutokana na hilo haviiti vyama vingine kama vyama vya upanzani bali vyama vya kumuonesha changamoto ilipo.

Wadau mnasemaje?
Hapa Mama katupiga kamba,Mzee Makamba mbona alikuwa anawakoromea waandishi wa habari baada ya kuhoji masuala ya umeme au yule ni mwanachama wa chama cha CHAUMA cha Hashimu Rungwe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Rais Samia amesema kwakuwa CCM ndiyo waliyoweka serikali basi wakosolewe.

Asema anaamini akikosolewa anaoneshwa changamoto ilipo na akiifanyia kazi changamoto ile watu wakamuamini ataendelea kubaki.

Na kutokana na hilo haviiti vyama vingine kama vyama vya upanzani bali vyama vya kumuonesha changamoto ilipo.

Wadau mnasemaje?
Kweli tupu
 
Rais Samia amesema kwakuwa CCM ndiyo waliyoweka serikali basi wakosolewe.

Asema anaamini akikosolewa anaoneshwa changamoto ilipo na akiifanyia kazi changamoto ile watu wakamuamini ataendelea kubaki.

Na kutokana na hilo haviiti vyama vingine kama vyama vya upanzani bali vyama vya kumuonesha changamoto ilipo.

Wadau mnasemaje?
Mh watu walihoji tu kuhusu mabehewa na vichwa vyake hata kaz wakapigwa chini!!!
 
Rais Samia amesema kwakuwa CCM ndiyo waliyoweka serikali basi wakosolewe.

Asema anaamini akikosolewa anaoneshwa changamoto ilipo na akiifanyia kazi changamoto ile watu wakamuamini ataendelea kubaki.

Na kutokana na hilo haviiti vyama vingine kama vyama vya upanzani bali vyama vya kumuonesha changamoto ilipo.

CC: Meneja TRC, Gerald Hando

Wadau mnasemaje?
Kwa maneno au kwa vitendo ?! Je na vijana wao wanaelewa hivyo alivyosema Mwenyekiti wao !!
 
Rais Samia Suluhu katika hotuba yake jana ameruhusu serikali yake kukosolewa lakini kuna watu wasio waelewa wataanza kutukana na sio kukosea Rais amesema kosoa kwa adabu na sio kutukana
Nanukuu
"CCM tunaamini kukosolewa na kukosoa. Kazi ya serikali itakuwa ni kutekeleza. Ndio maana mimi siwaiti vyama vya upinzani bali vyama vinavyotuonesha kasoro. Tukaendeshe siasa za kistaarabu, zenye kuheshimu sheria, mila na desturi. Vyombo vya ulinzi na usalama vitawalinda".
 
Tupo nyuma sana mpaka kukosoa tupewe ruhusa maalumu
 
Rais Samia amesema kwakuwa CCM ndiyo waliyoweka serikali basi wakosolewe.

Asema anaamini akikosolewa anaoneshwa changamoto ilipo na akiifanyia kazi changamoto ile watu wakamuamini ataendelea kubaki.

Na kutokana na hilo haviiti vyama vingine kama vyama vya upanzani bali vyama vya kumuonesha changamoto ilipo.

CC: Meneja TRC, Gerald Hando

Wadau mnasemaje?
Ruhusa unatoa kwa kitu chako, kitu ambacho kukitoa ni hisani yako.

Mfano, mimi nakuruhusu uingie nyumbani kwangu kama mgeni.

Rais hatakiwi kuruhusu kukosolewa.

Hiyo ni hakinya watubya kikatiba kama vile kuishi, kupiga kura, kufanya kazi.

Sasa anaruhusu kipi katika kitu ambacho ni haki ya kikatiba?

Hapo ni sawa na kusema rais Samia aruhusu watu kuishi.
 
Rais Samia amesema kwakuwa CCM ndiyo waliyoweka serikali basi wakosolewe.

Asema anaamini akikosolewa anaoneshwa changamoto ilipo na akiifanyia kazi changamoto ile watu wakamuamini ataendelea kubaki.

Na kutokana na hilo haviiti vyama vingine kama vyama vya upanzani bali vyama vya kumuonesha changamoto ilipo.

CC: Meneja TRC, Gerald Hando

Wadau mnasemaje?
Tangu lini wameamini hivyo?
 
Back
Top Bottom