Rais Samia: Sisi tunalumbana kuhusu Bandari, wenzetu wanatumia fursa

Wee mama umeulizwa swali dogo tu "Mkataba ni wa miaka mingapi?
 
Tuna genge la wahuni, likiongozwa na Rais kilaza, wamezamilia kuuza nchi. Kuingia Mikataba ya hovyo.
Halafu anaulizwa swali dogo tu
Mkataba huo ni wa miaka mingapi?
Kwanini haijaandikwa kwenye makaratasi?
 
Hajaruhusu hata kama hapendi hawezi kuzuia huu mjadala. Kuwa Rais ni kitu kimoja lakini kuwa Rais mwenye nguvu na mamlaka ni kitu kingine.
 
Halafu anaulizwa swali dogo tu
Mkataba huo ni wa miaka mingapi?
Kwanini haijaandikwa kwenye makaratasi?
Hawajibu kuhusu, vipengele, vigezo, marsharti. Hakuna anayekataa uwekezaji wenye manufaa kwa taifa.
 
Ni jambo jema!

Leo ni siku ya Live
Bwashe Haya ni mambo ya kishenzi. Kwamba DPw wamekuwa kuwa Kenya Kuna fursa baada ya Tanzanian Mbarawa kutangaza kuwa tunagaww bandari kutoka bars Hindi Hadi ziwa Victoria? Wacha Kenya waendelee na mambo yao
 
Toka SSM anaingie madarakani ameongeza kodi, tozo, umeme, maji, gharama za maisha miundombinu imekuwa hovyo, rushwa imekithiri, anatetea hao mawaziri Vilaza kama yeye badala ya kuwawajibisha.

Kitu gani hata kimoja amefanya kumsaidia maisha ya mlalahoi.
 
Umeme, maji danadana. Visingizio vitupu. SGR, bwawa la umeme danadana tupu.
 
Umehama CCM inamaana you are no longer Chawa anymore?
Uzalendo ni kulilinda Taifa na kuwa mkweli hata kwa gharama ikibidi.

Maswala ya vyama linapokuja swala linalogusa uhai wa nchi hayana nafasi.
 
Hana kosa lolote lakini huu mwanya unaweza kutumika vibaya dhidi yake.
Weakness yake kubwa ni kuongoza nchi indecisively kwa kutegemea upepo bila hata kujua matokeo ya maamuzi yake. Anaingia mkataba leo ambao pamoja na kuwa lengo lake ni zuri lakini hauipi nchi kufanya tathamini ya mafaninikio ya malengo ya mktaba huo na ama kujitoa iwapo tathmini inakuwa hairidhisi. Tumeshapitia kulazimika kuachana na mikataba miobovu lakini ikaja kutotokea puani kwa ndege za nchi kuwindwa na kukamatwa kama swala kwa sababu tu tuliingia mikataba kichwa kichwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…