ChawaWaMama
JF-Expert Member
- Jan 16, 2023
- 1,765
- 3,277
Great Thinkers,
Rais Dkt Samia tangu aapishwe tumeshuhudia uendelevu wa amani, muendelezo wa hatua za kiuchumi, kisiasa, na kiutawala ambazo ziliachwa na Dkt Magufuli. Rais Dkt Samia ni mzalendo, mchapa kazi na muumini wa maendeleo ya dhati kwa watanzania.
Rais Dkt Samia ameendelea kupanga timu yake ya ushindi kuelekea 2025, na tunaamini kabisa hana kinyongo nam tu yeyote anayemtumbua ila ni majukumu tu.
Rais Dkt Samia Watanzania tunakupenda sana
Rais Dkt Samia tangu aapishwe tumeshuhudia uendelevu wa amani, muendelezo wa hatua za kiuchumi, kisiasa, na kiutawala ambazo ziliachwa na Dkt Magufuli. Rais Dkt Samia ni mzalendo, mchapa kazi na muumini wa maendeleo ya dhati kwa watanzania.
Rais Dkt Samia ameendelea kupanga timu yake ya ushindi kuelekea 2025, na tunaamini kabisa hana kinyongo nam tu yeyote anayemtumbua ila ni majukumu tu.
Rais Dkt Samia Watanzania tunakupenda sana