Rais Samia Songa mbele Mama, kuongoza Watanzania inahitaji moyo wa chuma na uvumilivu maana ni vigeugeu

Rais Samia Songa mbele Mama, kuongoza Watanzania inahitaji moyo wa chuma na uvumilivu maana ni vigeugeu

Ndugu zangu watanzania,

Ukiwa kiongozi Tanzania hasa ngazi ya Urais inahitaji kifua kipana,moyo mkubwa,moyo wa uvumilivu,upendo ,huruma na moyo wa msamaha katika kuwaongoza na kuwatumikia watanzania,kwa kuwa sisi watanzania kwa kiwango kikubwa ni walalamishi, vigeugeu,tunaofanya mambo na kazi kwa kusukumwa na kuvizia vizia,. watanzania haturidhiki wala kuwa na shukurani hata pale tunapotendewa mema.

Chukua dakika moja kufikiri ni kiongozi yupi wa ngazi ya urais ambaye wakati wa utawala wake hakulaumiwa ,kutukanwa ,kusingiziwa ,Kumchonganisha na wananchi,kumuombea mabaya ,kumlaani,kumtukana kuanzia utawala na uongozi wa Hayati mwalimu nyerere mpaka mh Dr Mama Samia suluhu Hasssan?ni yupi ambaye hakuitwa Dikteta? Yupi ambaye hakuambiwa ana mipango mibovu ya uchumi? Yupi ambaye hakuambiwa amalize haraka miaka yake madarakani ili akalee na kucheza na wajukuu zake? Yupi ambaye hakuambiwa anawafukarisha watanzania?

Ni watanzania wangapi kwa masikio yenu watanzania wenzangu wazalendo mmesikia kila utawala mmoja ukipita huanza kukumbukwa ukilinganishwa na unaokuwepo wakati huo? Ilikuwa hivyo wakati wa mwinyi watu wakasema bora mwalimu nyerere arejee madarakani,ikawa hivyo wakati wa hayati Benjamin mkapa ambapo watu wakasema bora mwinyi kuliko mkapa, ikaendelea hivyo kwa mh mzee wangu Dr Jakaya mrisho Kikwete ambapo watu wakasema bora Mh Benjamini mkapa mambo yalikuwa sawa,ikaja kwa Hayati Mwalimu Dr John pombe Joseph Magufuli watu wakalalama na kulaani na kusema bora Mh Dr Jakaya Kikwete mambo yalikuwa safii na sasa Tupo na mama yetu kipenzi shujaa wa Afrika Nembo ya Tanzania na Nuru ya wanyonge mama samia suluhu Hasssan ,watu wale wale waliompinga kwa nguvu zao zote ,kwa matusi,kejeri,dharau ,dhihaka ,hila ,udhalilishaji na chuki sasa wameanza kumshambulia mama yetu na kusema bora Hayati Magufuli.

Midomo ile ile iliyotanuka kama ya akina Tundu lissu kumtukana Hayati magufuli ndani na nje ya mipaka ya Tanzania ,sasa wanamuona shujaa wakati walimuua kimaneno na kimaombi akiwa angali bado hai.Hii maana yake nini? Jibu ni kuwa sisi watanzania ni wanafiki wa kiwango cha juu sana,ni vigeugeu sana na tunaohitaji kiongozi mwenye moyo wa chuma asiye tazama nyuma wala kujali makelele na aliyeamua kuziba masikio kama alivyosema mama yetu kipenzi mama samia alipokuwa jijini Arusha, watanzania ukiwasikiliza sana lazima ukwame tu,lazima uyumbe kiuongozi,lazima upoteze dira na muelekeo wako,lazima uchelewe kuwafikisha nchi ya asali na maziwa ,lazima ujute kuwafahamu,lazima usosononeke moyoni mwako,lazima uwe na mawazo mengi ya nini ufanye kuwaridhisha watanzania,kwa kuwa watanzania hawaridhiki wala kutosheka,inabidi wakati mwingine uwaswage kwenda mbele na ukiwafikisha ng'ambo ya pili ya mto ndio watajuwa kuwa dhamira yako ilikuwa njema.

Mama yangu na Rais wangu mama samia Songa mbele kwa kishindo,usitazame nyuma wala kugeuka,kama ulivyotuasa kutazama mbele kwa matumaini badala ya hofu ya kupasa nawe kutazama mahali ulipodhamilia kuwafikisha watanzania kimaendeleo pasipo kujali maneno yao,acha waongee wewe chapa kazi na Songa mbele tuu, Tembea na dira yako,tazama Malengo yako na mtangulize Mungu wetu aliye hai katika shughuli na majukumu yako yote ya Urais maana siyo wote wanaofurahia mafanikio yako japo wanaweza kuwa katikati yako kati ya wale unaowaamini na kuwasikiliza,wapo wanaosubiri na kutamani kuona anguko lako ,lakini nakupa imani kuwa Mungu Aliyekuinua kiuongozi yupo upande wako na upande wa Taifa letu.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa,kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Mjinga msomi katika ubora wako
 
Ndugu zangu watanzania,

Ukiwa kiongozi Tanzania hasa ngazi ya Urais inahitaji kifua kipana,moyo mkubwa,moyo wa uvumilivu,upendo ,huruma na moyo wa msamaha katika kuwaongoza na kuwatumikia watanzania,kwa kuwa sisi watanzania kwa kiwango kikubwa ni walalamishi, vigeugeu,tunaofanya mambo na kazi kwa kusukumwa na kuvizia vizia,. watanzania haturidhiki wala kuwa na shukurani hata pale tunapotendewa mema.

Chukua dakika moja kufikiri ni kiongozi yupi wa ngazi ya urais ambaye wakati wa utawala wake hakulaumiwa ,kutukanwa ,kusingiziwa ,Kumchonganisha na wananchi,kumuombea mabaya ,kumlaani,kumtukana kuanzia utawala na uongozi wa Hayati mwalimu nyerere mpaka mh Dr Mama Samia suluhu Hasssan?ni yupi ambaye hakuitwa Dikteta? Yupi ambaye hakuambiwa ana mipango mibovu ya uchumi? Yupi ambaye hakuambiwa amalize haraka miaka yake madarakani ili akalee na kucheza na wajukuu zake? Yupi ambaye hakuambiwa anawafukarisha watanzania?

Ni watanzania wangapi kwa masikio yenu watanzania wenzangu wazalendo mmesikia kila utawala mmoja ukipita huanza kukumbukwa ukilinganishwa na unaokuwepo wakati huo? Ilikuwa hivyo wakati wa mwinyi watu wakasema bora mwalimu nyerere arejee madarakani,ikawa hivyo wakati wa hayati Benjamin mkapa ambapo watu wakasema bora mwinyi kuliko mkapa, ikaendelea hivyo kwa mh mzee wangu Dr Jakaya mrisho Kikwete ambapo watu wakasema bora Mh Benjamini mkapa mambo yalikuwa sawa,ikaja kwa Hayati Mwalimu Dr John pombe Joseph Magufuli watu wakalalama na kulaani na kusema bora Mh Dr Jakaya Kikwete mambo yalikuwa safii na sasa Tupo na mama yetu kipenzi shujaa wa Afrika Nembo ya Tanzania na Nuru ya wanyonge mama samia suluhu Hasssan ,watu wale wale waliompinga kwa nguvu zao zote ,kwa matusi,kejeri,dharau ,dhihaka ,hila ,udhalilishaji na chuki sasa wameanza kumshambulia mama yetu na kusema bora Hayati Magufuli.

Midomo ile ile iliyotanuka kama ya akina Tundu lissu kumtukana Hayati magufuli ndani na nje ya mipaka ya Tanzania ,sasa wanamuona shujaa wakati walimuua kimaneno na kimaombi akiwa angali bado hai.Hii maana yake nini? Jibu ni kuwa sisi watanzania ni wanafiki wa kiwango cha juu sana,ni vigeugeu sana na tunaohitaji kiongozi mwenye moyo wa chuma asiye tazama nyuma wala kujali makelele na aliyeamua kuziba masikio kama alivyosema mama yetu kipenzi mama samia alipokuwa jijini Arusha, watanzania ukiwasikiliza sana lazima ukwame tu,lazima uyumbe kiuongozi,lazima upoteze dira na muelekeo wako,lazima uchelewe kuwafikisha nchi ya asali na maziwa ,lazima ujute kuwafahamu,lazima usosononeke moyoni mwako,lazima uwe na mawazo mengi ya nini ufanye kuwaridhisha watanzania,kwa kuwa watanzania hawaridhiki wala kutosheka,inabidi wakati mwingine uwaswage kwenda mbele na ukiwafikisha ng'ambo ya pili ya mto ndio watajuwa kuwa dhamira yako ilikuwa njema.

Mama yangu na Rais wangu mama samia Songa mbele kwa kishindo,usitazame nyuma wala kugeuka,kama ulivyotuasa kutazama mbele kwa matumaini badala ya hofu ya kupasa nawe kutazama mahali ulipodhamilia kuwafikisha watanzania kimaendeleo pasipo kujali maneno yao,acha waongee wewe chapa kazi na Songa mbele tuu, Tembea na dira yako,tazama Malengo yako na mtangulize Mungu wetu aliye hai katika shughuli na majukumu yako yote ya Urais maana siyo wote wanaofurahia mafanikio yako japo wanaweza kuwa katikati yako kati ya wale unaowaamini na kuwasikiliza,wapo wanaosubiri na kutamani kuona anguko lako ,lakini nakupa imani kuwa Mungu Aliyekuinua kiuongozi yupo upande wako na upande wa Taifa letu.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa,kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Tena, Mamilioni ya Watanzania wameshamgeuka mpaka umeacha kazi ya ku report na sasa umejipa kazi ya kumpa moyo😃
 
Ati Wananchi ndio waliokuwa na kigegugeu?


'Ahhh' 'oh' Kazi ziendeleee

Oh Ahhh simba wa yuda

ehhh iiih kwa kamba yako

Ahh ehhh Never never

Kazi iendelee, ipi hiyo?
Kwa hayo nani.mwenye kigeugeu?


Mmemguza akawapa masikio mkadanganya SSH ajitenge na Chama chake, mwanzoni tu mwa Utawala wake, Akaharibu, akajikwaa, kashtuka 2025 hiyo hapo na watunza mabakuli (CCM wenzake) wamenuna kwa kutengwa, afanye nini? Kaenda kwa wajomba kapewa Masinia kwa masinia tayari kwa mpambano na 2025....nani mwenye kigeugeu? Sasa wananchi wanalia na hawajui wanapelekwa wapi, na kwaavile ameziba masikio ndio kabisa kageuka kigeugeu....

'Serikali ya Kuwasikiliza wananchi hii' 'Uhuru, kamba yako tu' longa tuuuu '

sasa ameziba masikio, nani kigeugeu?

hawasikii kina Mwashambwa na magenge yake wala Wananchi wake!

, tabu tupu!

vigeugeu my foot, Mfyuuuuuuuuuuu
 
Umelewa wewe. Umeamua kumtukana mpaka mama yako aliyekuzaa ili upate nini? Unataka uteuzi? Unafikiri mama yako mzazi hana hadhi ya kuitwa mama? Ukipata laana kutoka kwa mama yako mzazi unayemdharau na kujichagulia wanasiasa wezi na waongo ukiwaita mama, hata uteuliwe wapi wewe huna maana na utakufa mwenye hasara duniani na mbinguni. Jitafakari.
Tuliza akili yako kwanza ndio uje uandike hapa ,maana naona kichwa hakipo sawa ndio maana umepaniki.
 
Huyo ndio Lucas Mbumbumbu Mwashambwa.
Mnyiha mwenye shobo class A.
 
Kuna watu mnapenda kuwa abused again and again, mmeathirika kisaikolojia, unadhania sifa kuleta mada kama hizi kumbe tunakuona mgonjwa.,
 
Alooooooooo.
aliyesoma yote anipe short summary in 10 words
 
Hapana mimi sitafuti uteuzi bali naongea ukweli tu kwa moyo wa uzalendo na upendo kwa Taifa langu.
Wewe unaongea kama chawa mbobezi huna uzalendo wowote!
Wazalendo wanapigania rasilimali zao zisiporwe wewe unashabikia hawa mafisadi wakiongozwa na Samia wafilisi nchi! Wazalendo hasa wa nchi hii wanachukia rushwa ilivyoshamili kwenye serikali hii.
 
Ndugu zangu watanzania,

Ukiwa kiongozi Tanzania hasa ngazi ya Urais inahitaji kifua kipana,moyo mkubwa,moyo wa uvumilivu,upendo ,huruma na moyo wa msamaha katika kuwaongoza na kuwatumikia watanzania,kwa kuwa sisi watanzania kwa kiwango kikubwa ni walalamishi, vigeugeu,tunaofanya mambo na kazi kwa kusukumwa na kuvizia vizia,. watanzania haturidhiki wala kuwa na shukurani hata pale tunapotendewa mema.

Chukua dakika moja kufikiri ni kiongozi yupi wa ngazi ya urais ambaye wakati wa utawala wake hakulaumiwa ,kutukanwa ,kusingiziwa ,Kumchonganisha na wananchi,kumuombea mabaya ,kumlaani,kumtukana kuanzia utawala na uongozi wa Hayati mwalimu nyerere mpaka mh Dr Mama Samia suluhu Hasssan?ni yupi ambaye hakuitwa Dikteta? Yupi ambaye hakuambiwa ana mipango mibovu ya uchumi? Yupi ambaye hakuambiwa amalize haraka miaka yake madarakani ili akalee na kucheza na wajukuu zake? Yupi ambaye hakuambiwa anawafukarisha watanzania?

Ni watanzania wangapi kwa masikio yenu watanzania wenzangu wazalendo mmesikia kila utawala mmoja ukipita huanza kukumbukwa ukilinganishwa na unaokuwepo wakati huo? Ilikuwa hivyo wakati wa mwinyi watu wakasema bora mwalimu nyerere arejee madarakani,ikawa hivyo wakati wa hayati Benjamin mkapa ambapo watu wakasema bora mwinyi kuliko mkapa, ikaendelea hivyo kwa mh mzee wangu Dr Jakaya mrisho Kikwete ambapo watu wakasema bora Mh Benjamini mkapa mambo yalikuwa sawa,ikaja kwa Hayati Mwalimu Dr John pombe Joseph Magufuli watu wakalalama na kulaani na kusema bora Mh Dr Jakaya Kikwete mambo yalikuwa safii na sasa Tupo na mama yetu kipenzi shujaa wa Afrika Nembo ya Tanzania na Nuru ya wanyonge mama samia suluhu Hasssan ,watu wale wale waliompinga kwa nguvu zao zote ,kwa matusi,kejeri,dharau ,dhihaka ,hila ,udhalilishaji na chuki sasa wameanza kumshambulia mama yetu na kusema bora Hayati Magufuli.

Midomo ile ile iliyotanuka kama ya akina Tundu lissu kumtukana Hayati magufuli ndani na nje ya mipaka ya Tanzania ,sasa wanamuona shujaa wakati walimuua kimaneno na kimaombi akiwa angali bado hai.Hii maana yake nini? Jibu ni kuwa sisi watanzania ni wanafiki wa kiwango cha juu sana,ni vigeugeu sana na tunaohitaji kiongozi mwenye moyo wa chuma asiye tazama nyuma wala kujali makelele na aliyeamua kuziba masikio kama alivyosema mama yetu kipenzi mama samia alipokuwa jijini Arusha, watanzania ukiwasikiliza sana lazima ukwame tu,lazima uyumbe kiuongozi,lazima upoteze dira na muelekeo wako,lazima uchelewe kuwafikisha nchi ya asali na maziwa ,lazima ujute kuwafahamu,lazima usosononeke moyoni mwako,lazima uwe na mawazo mengi ya nini ufanye kuwaridhisha watanzania,kwa kuwa watanzania hawaridhiki wala kutosheka,inabidi wakati mwingine uwaswage kwenda mbele na ukiwafikisha ng'ambo ya pili ya mto ndio watajuwa kuwa dhamira yako ilikuwa njema.

Mama yangu na Rais wangu mama samia Songa mbele kwa kishindo,usitazame nyuma wala kugeuka,kama ulivyotuasa kutazama mbele kwa matumaini badala ya hofu ya kupasa nawe kutazama mahali ulipodhamilia kuwafikisha watanzania kimaendeleo pasipo kujali maneno yao,acha waongee wewe chapa kazi na Songa mbele tuu, Tembea na dira yako,tazama Malengo yako na mtangulize Mungu wetu aliye hai katika shughuli na majukumu yako yote ya Urais maana siyo wote wanaofurahia mafanikio yako japo wanaweza kuwa katikati yako kati ya wale unaowaamini na kuwasikiliza,wapo wanaosubiri na kutamani kuona anguko lako ,lakini nakupa imani kuwa Mungu Aliyekuinua kiuongozi yupo upande wako na upande wa Taifa letu.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa,kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Sawa kabisa mkuu uzalendo wako si wa kutilia shaka. Achana na akina Mwabukusi wasiojotambua.
 
Bahati nzuri sijawahi kusoma nyuzi zako. Vichwa vya uzi tu ni upuuzi mtupu.
Wewe kaka ungejaribu kupunguza shobo, jinsi unavyomuabudu huyo binadamu.
Namba ya simu haitoshi, weka picha yako tuone upachikwe kitengo gani. Nyo nyo nyo nyo
 
Bahati nzuri sijawahi kusoma nyuzi zako. Vichwa vya uzi tu ni upuuzi mtupu.
Wewe kaka ungejaribu kupunguza shobo, jinsi unavyomuabudu huyo binadamu.
Namba ya simu haitoshi, weka picha yako tuone upachikwe kitengo gani. Nyo nyo nyo nyo
Andika kwa kutuliza kichwa chako
 
Back
Top Bottom