Hajitambui hawezi kufanya hivyoKwa wenzetu waliyoendelea, Dr Abbas angejiuzulu ili kutoka kwa heshima
Makamba kaingiaje kwenye sheria za vyombo vya habari ?Chief, inawezekana watunga sheria wakaibuka out of nowhere na kutunga sheria Fulani pasipo na haja/umuhimu wa sheria hiyo?
Una kumbukumbu yoyote ya pale uhuru wa habari (kutoa na kupokea) ulipokua umefikia kwa nyakati zile zilizopelekea ‘msukumo’ wa utunzi na upitishaji wa hizi Sheria? (Ushahidi mwingi uko humu JF!)
Sheria zote za masuala ya media & mass communications, mara hii tumesahau muhusika/wahusika wakuu?
Kipindi hizi sheria zinapambaniwa, Mhe. January Makamba alikua kasimama duara gani? Na Mhe. Nape?
Side note; Sorry Chief, sijui kwanini ila every time I read your statements, Ndugu Lissu’s voice comes to my consciousness. Sijui kwanini!
Unajua utawala wa mabavu ukoje? Nimekuwa nikisema mara nyingi ni hatari sana sheria za nchi kutungwa kukidhi utashi wa rais aliye madarakani.
Muhusika mkuu wa hizo sheria kandamizi alikuwa ni Magu, hao uliowataja kina Nape, Januari nk walikuwa ni wawasilishaji tu, na inawezekana pia walizikubali kwa ajili ya milo yao, na wao tuliwapa ukweli wao.
Hiyo side note, huo ni mtazamo wako, na una haki ya kuwaza utakacho maana ndio uhuru wa mawazo. Lakini sisi ni watu wawili tofauti japo tunatoka mkoa mmoja.
Hiyo sheria ya vyombo vya habari ilianza kufanyiwa mchakato kipindi gani(Mwaka)?
Huyu ni mwanachama wa Sukuma Gang, Hawa ni kikwazo kwa utawala wa mamaHassan abbas sio mkurugenzi wa maelezo,hivyo hahusiki na kufungia au kuyafungulia magazeti,hiyo ni kazi ya msigwa.Msigwa yafungulie magazeti,usimzingue mama maana atakuzingua
Hahahaha..Hassan abbas sio mkurugenzi wa maelezo,hivyo hahusiki na kufungia au kuyafungulia magazeti,hiyo ni kazi ya msigwa.Msigwa yafungulie magazeti,usimzingue mama maana atakuzingua
Binti habari ya uzima?!! Fungua pm ama nitext kuna barua yako ya uteuzi nimekabidhiwa nikufikishie.Upinzani umeshakufa Tanzania. Kupitia haya anayofanya mama yetu,Sijui watakosoa nini tena.
Kwa Mamlaka ipi uliyonayo?Huyu Abasi Kutokana na hulka yake ya kimeko meko hakufaa kuendelea kuwepo serikalini
Inipe nimpelekee hadi chumbani kwakeBinti habari ya uzima?!! Fungua pm ama nitext kuna barua yako ya uteuzi nimekabidhiwa nikufikishie.
Mungu amemchukua Magu kupisha uchunguzi wa matumizi mabaya ya madaraka.Ahsante Mungu kwa kutuondolea mja wako ndugu Magu.
Tusifiche uozo,Huyu Abbas awe makini sana aangalie zama zimebadilika.
....mae😠 kanye💩💩🐖🐖🐖weweHuyu mama tangu siku ya kwanza nilijua tu atakuja kuiharibu nchi.