Yudatade Edesi Shayo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 2,903
- 4,334
Hata kama anakataa anakataa kwa vipi alazimishwe tuAisee tutamlazimisha Samia atawale miaka 20. Atake asitake tutamlazimisha.
Mtabirie madha upupu😅Wakuu kama mimi ni TAGA na nilipongeza vyombo vya habari vilipofungiwa hapa natakiwa kucomment nini?
Yaani tulijuwa tunaelekea pabaya sanaEti kozi ya kurusha "drone"...hehehehe halafu ilikuwa bei mkasi
Kama gazeti la Musiba lilivyoshughulikiwa kpindi cha MEKOVifunguliwe na wafuate taratibu
Habari na taarifa ni muhimu sana kwa jamii
Wakianza kuandika tena habari za uchochezi na kuhamasisha hujuma kwa nchi yetu washughulikiwe ipasavyo
Hama nchi tuachie wenye nchi yetuHuyu mama tangu siku ya kwanza nilijua tu atakuja kuiharibu nchi.
Mfuate mwendazake kama wampenda sanaHuyu mama tangu siku ya kwanza nilijua tu atakuja kuiharibu nchi.
Wewe unadhani Urais ni kuwa na roho mbaya? Halafu acha dharau kwa Rais
Weweh!Aisee tutamlazimisha Samia atawale miaka 20. Atake asitake tutamlazimisha.
Hivi unajua maana ya upinzani?Upinzani umeshakufa Tanzania..Kupitia haya anayofanya mama yetu,Sijui watakosoa nini tena.
Na sio kwamba upinzani ulikufa kipindi Cha mwendazake kama yeye alivyoongeaUpinzani umeshakufa Tanzania..Kupitia haya anayofanya mama yetu,Sijui watakosoa nini tena.
AiseeeHuyu mama tangu siku ya kwanza nilijua tu atakuja kuiharibu nchi.
Acha tu iharibike watu wapate ahueni,by the way habari za geita?.Huyu mama tangu siku ya kwanza nilijua tu atakuja kuiharibu nchi.
Hiyo inaoitwa Fuchu Minami kwa luga ya Kijapani
Wapambe hamko nyuma! Naona Jiwe amewarudishia akili zenu baada ya kwenda zakeTanzania Daima!
Huyu rais utafikiri siyo mTz, tena ccm.. maana anaona mbali mnoo.Rais Samia Suluhu ameiagiza Wizara ya Habari kuvifungulia vyombo vya habari vilivyofungiwa, na kuhakikisha vinafuata sheria. Aidha, ameagiza sheria kanuni na adhabu ziwe wazi, ifahamike kosa fulani adhabu yake ni fulani, ili isionekane kuwa serikali inaminya uhuru wa habari.
Rais Samia amesema haya...
Wizara ya habari, mnapaswa kusimamia vyombo vya habari, nasikia kuna vyombo vya habari mmevifungia, vifungulieni lakini vifuate sheria na kanuni. Tusiwape mdomo mdomo wa kusema tunabinya uhuru wa habari na nataka kanuni ziwe wazi. Tusifungie tu kibabe