Rais Samia Suluhu aitaka Wizara ya Habari kuvifungulia Vyombo vya Habari vilivyofungiwa. Avitaka kufuata Sheria na Kanuni

Hoja yangu Kama Sheria hazitabadilishwa zilizotungwa kipindi Cha magu,vyombo vya habari vitakuwa huru kwa huduma ya mama na not according to the law,Sheria kandamizi ziondolewe Kama kweli mama anamaanisha
 
Ni dalili za mwanzo mzuri wa uongozi wa serikali ya awamu ya sita. Muhimu kazungumzia uwazi wa kanuni ambazo zilikuwa zinatumika kuhukumu watu na vyombo vyao vya habari. Kanuni ziwe waz,i ubabe unaumiza wananchi na kuifedhehesha serikali.
 
Huyu rais utafikiri siyo mTz, tena ccm.. maana anaona mbali mnoo.

Mh. Bi mkubwa, Big up!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…