Tea Party
JF-Expert Member
- Oct 5, 2019
- 658
- 1,133
MAMA SAMIA FANYA YAFUTAYO KWENYE HIYO WIZARA YA HABARI :
1. Tunataka tuzo za Muziki zirudi. Wizara ya habari ifanye partnership na kampuni kama Coca-Cola, coral paints au hata Spotify waturudishie tuzo.
2. Abbas afukuzwe awekwe mtu mwenye akili. He was a perennial threat to freedom of press.
3. Wizara ipige marufuku wakina YINGA MEDIA na kina DJ mwanga wanaouza kazi za wasanii kiholela. Faini ziwe kubwa sana.
4. Media service act 2016 itolewe au irudiwe upya kwa sababu inampa nguvu kubwa waziri wa habari.
5. Kuanzisha YouTube channel iwe bure na yale makodi ya kila mwaka yafutwe kama wanataka kodi wakawabane kina Barrick sio vijana wa kitanzania.
6.BASATA ifutwe na iwe ya kisasa kama Recording academy au RIAA ya marekani. Fukuza wale WAZEE wasiojua chochote. Waweke hata COUNTRY BOY / WAKAZI / VANESSA MDEE kama viongozi wa hilo bara za sio hao wazee.
7 Local channels zirudi na ziwe ZINALIPWA royalties na makampuni km STARTIMES na DSTV hii itasaidia media kuacha kutegemea matangazo pekee kama source of income.
8. Wizara ya michezo na utamaduni iandae show zenye kiwango cha lami na zenye hadhi kama Coachella, Summer Jam au OVO Festival za marekani ili kukuza wasanii wetu.
9. Samia asain EXECUTIVE ORDER kukataza manyimbo ya nje kutokea Nigeria sijui US kupigwa mchana. Mchana ni nyimbo za bongo tu.
10. Watangazaji wa redio inabidi at least wawe na diploma huku TV wawe na degree ndo wafanye kazi.
Ukifanya hivyo tutakuwa marafiki sana
1. Tunataka tuzo za Muziki zirudi. Wizara ya habari ifanye partnership na kampuni kama Coca-Cola, coral paints au hata Spotify waturudishie tuzo.
2. Abbas afukuzwe awekwe mtu mwenye akili. He was a perennial threat to freedom of press.
3. Wizara ipige marufuku wakina YINGA MEDIA na kina DJ mwanga wanaouza kazi za wasanii kiholela. Faini ziwe kubwa sana.
4. Media service act 2016 itolewe au irudiwe upya kwa sababu inampa nguvu kubwa waziri wa habari.
5. Kuanzisha YouTube channel iwe bure na yale makodi ya kila mwaka yafutwe kama wanataka kodi wakawabane kina Barrick sio vijana wa kitanzania.
6.BASATA ifutwe na iwe ya kisasa kama Recording academy au RIAA ya marekani. Fukuza wale WAZEE wasiojua chochote. Waweke hata COUNTRY BOY / WAKAZI / VANESSA MDEE kama viongozi wa hilo bara za sio hao wazee.
7 Local channels zirudi na ziwe ZINALIPWA royalties na makampuni km STARTIMES na DSTV hii itasaidia media kuacha kutegemea matangazo pekee kama source of income.
8. Wizara ya michezo na utamaduni iandae show zenye kiwango cha lami na zenye hadhi kama Coachella, Summer Jam au OVO Festival za marekani ili kukuza wasanii wetu.
9. Samia asain EXECUTIVE ORDER kukataza manyimbo ya nje kutokea Nigeria sijui US kupigwa mchana. Mchana ni nyimbo za bongo tu.
10. Watangazaji wa redio inabidi at least wawe na diploma huku TV wawe na degree ndo wafanye kazi.
Ukifanya hivyo tutakuwa marafiki sana