Rais Samia Suluhu akiendelea kumkumbatia Majaliwa na Baraza lake Serikali yake haitofanikiwa, Hawana jipya

Rais Samia Suluhu akiendelea kumkumbatia Majaliwa na Baraza lake Serikali yake haitofanikiwa, Hawana jipya

Ilipaswa nchi ipate
IMG_20201028_173703.jpg
uchaguzi mkuu mwingine !

Awamu ya jiwe yote imetumia mabavu kufika hapo

IMG_20201028_173703.jpg
 
Kwa taarifa yako mama hawezi kamwe kusikiliza huo ujinga wenu maana tayari anawajua vema nyinyi wapiga zumari wa ccm.

Anataarifa zenu zote hivyo msijidanganye kumtisha mara hana ushawishi, mara hana umaarufu na kama ingekuwa umaarufu kwenye chama ndiyo kupata urais basi leo hii rais angekuwa Wasira.
Wewe piga tu domo, hii nchi ni kubwa, ni mjinga tu ndio anaweza kuamini kwamba mama alikuwa na upepo kumzidi JPM, kama angepanga foleni ile 2015, angejiona nafasi yake, by the way mkae mtulie, huyo ni rais wetu wa kurithi anatutunzia nyumba kwa ajali iliyo tupata, 2025 tutafikiri upya... Akifanya vizuri nafasi anayo, akiboronga ndio mtaona rangi ya CCM 2025, atapigwa chenga ya mwili hata kwa chadema yenu mtu atapewa urais. Tunza sana maneno yangu
 
”Nimefuatilia na kutafakari hoja za wabunge wa CCM dhidi ya Ripoti ya CAG kuhusu ubadhirifu uliokithiri Serikalini. Nimesikiliza hoja za kujaribu kutetea ‘legacy’ ya Rais wa Tano wa Tanzania. Naona kuna URATIBU wa jambo HATARI linaloweza kuwa linapangwa kutokea. Mungu apishe mbali”. - Zitto Kabwe.
 
Kila Rais huwa na Vision yake na ambitions zake, vision ya hayati Magufuli ilikuwa Tanzania ya viwanda ambayo ilishindwa chini ya uongozi wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, sijajua vision ya rais mpya Mama Samia kuwa ni ile ile ya Tanzania ya viwanda au atakuja na nyingine au hana vision kabisa.

Mwelekeo wa uongozi wa Serikali ya mama Samia haujawa na sauti moja means mwelekeo mmoja, nafikiri hili linatokana na labda na mama Samia kutoonyesha msimamo wake, jana Waziri mkuu kaja na vipaumbele 6, kimojawapo ni ‘Hakuna kurudi nyuma’ means wanaendeleza ya mtangulizi kana kwamba Rais aliyepo hana vipaumbele vyake, huku Spika akisema hayati Magufuli alikuwa akishauriwa vibaya means tubadilike.

Mimi naona kama kuna mkakati wa makusudi wa kumkwamisha Rais Samia au kumlazimisha afate vision ya mtangulizi wake. Pamoja na kwamba alisema atayaenzi ya mtangulizi wake haina maana yeye hajui anataka Tanzania ya aina gani.

Mkapa alipoingia madarakani alisema atayaenzi ya muasisi wa Taifa Mwalimu Nyerere ‘yale mazuri’ lkn alikuja kubinafsisha mashirika ya umma kinyume na mwasisi wake tena Mwalimu angali akiwa hai.

Bila ya Rais Samia kuja na serikali yake iliyobeba maono yake itamuwia ngumu kuipeleka Tanzania aipendayo, kwa sababu baraza zima bado ni lilelile, linataka kuendeleza yaleyale maana yake ‘halina jipya’, Waziri mkuu bado ni yule yule aliye na vision ya Tanzania ya viwanda iliyoshindwa.
Vision gani unayoongelea wewe?... mimi nijuavyo kuna national dvnt plan na ilani ya chama ambavyo ndio mwongozo ambao rais yeyote aingiapo madarakani anatakiwa aufuate
 
Cha kufanya azidi kuwatimua kazi wale woote walioshiriki kwenye serikali ya awamu ya 5 kufanikisha ufisadi wa kihistoria tangu tanzania ipate uhuru.
Yeye alikua akishiriki kwenye serikali ya awamu ya 9?
 
Kifupi PM na VP ni waumini wakubwa wa Mwendazake. Mama awe makini mno. Asikubali kuyumbishwa. Ikumbukwe Rais mpya huwa halazimishwi kuyaendeleza ya mtangulizi wake hata kama hayana tija. Na Bungeni naona walijipanga kabisa kusema waliyosema ili mradi eti aliye madarakani atekekeze yaliyoachwa. Siyo lazima. Atachagua yanayotekelezeka na yenye tija na kwa uwezo wa pesa ya ndani na nje.
 
wanasomaga basi..wenyewe wanajua kulaumu tu
KUmbuka kilichopo mbele yao ni ilani ya uchaguzi 2020 - 2025.....

Hope kutakuwa na review ya hapa na pale kuondoa ile ujeshi wa mtu mmoja....

Hotuba ya Magufuli ufunguzi binge la pili ilitoa natumaini mazuri Sana. Ni vema yakakamilika ili na sir tuenjoy...

Kama hujaisoma nenda ukaisome

Kama uliisoma juu juu kaisome Tena mara ya pili uielewe vema
 
Binafsi huwa siamini katika kubadili watendaji wa serikali kila mara.
Kama mtangulizi wake aliweza kufanya baadhi ya mambo na yakafanikiwa(hata kama yataonekana sasa hayakutakiwa kufanyika vile) huku akiwa naye PM, basi hata huyu wa sasa anaweza.
Kinachohitajika ni kukaa nao nankuwajenga wajue mwelekeo wa sasa ni upi na kufuta fikra za awali.
Lakini pia tukumbuke, mwendazake alikuwa na kila dalili za kutoshaurika. Huenda alikuwa ni sehemu ya mkwamo unaozungumziwa sasa.
 
Mpaka Sasa sijawekewa why Majaliwa Yuko pale .

Huyo mzee hata simuelewi muongo vibaya Sana[emoji849][emoji1][emoji15]
 
Kifupi PM na VP ni waumini wakubwa wa Mwendazake. Mama awe makini mno. Asikubali kuyumbishwa. Ikumbukwe Rais mpya huwa halazimishwi kuyaendeleza ya mtangulizi wake hata kama hayana tija. Na Bungeni naona walijipanga kabisa kusema waliyosema ili mradi eti aliye madarakani atekekeze yaliyoachwa. Siyo lazima. Atachagua yanayotekelezeka na yenye tija na kwa uwezo wa pesa ya ndani na nje.
Lakini siyo mfuasi wa ufisadi ulifanyika chini ya mwendazake
 
Rais halazimiki kufuata ya mtangulizi wake maana hajakaimu Urais bali ameapishwa uoya kama Rais mpya wa awamu ya 6.
Hilo mataga hawataki kulisikia maana wanaona hakuna mwenye uwezo wa kuongoza zaidi ya jiwe
 
Kwani samia ametokana na serikali gani? Alikuwa anayahubiri ya nani? Amekabidhiwa ilani ipi? Amenadi sera zipi? MAJIBU YA HAYA MASWALI YATAKUFANYA UFIKIRI UPYA.
Hawezi kukujibu, labda kama anataka kukumbatiwa yeye
 
Ww piga tu domo, hii nchi ni kubwa, ni mjinga tu ndio anaweza kuamini kwamba mama alikuwa na upepo kumzidi JPM, kama angepanga foleni ile 2015, angejiona nafasi yake, by the way mkae mtulie, huyo ni rais wetu wa kurithi anatutunzia nyumba kwa ajali iliyo tupata, 2025 tutafikiri upya... Akifanya vizuri nafasi anayo, akiboronga ndio mtaona rangi ya CCM 2025, atapigwa chenga ya mwili hata kwa chadema yenu mtu atapewa urais. Tunza sana maneno yangu
Pumbavu zako wewe mataga, yaani unamuita rais kuwa ni rais wa kurithi?
Una akili kweli wewe?


Sasa tuwaambieni wale woote mnaofikiria kumkwamisha rais kamwe hamtaweza.
 
Back
Top Bottom