Rais Samia Suluhu akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu ya Chamwino, Dodoma

Rais Samia Suluhu akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu ya Chamwino, Dodoma

[emoji23] [emoji23] [emoji23] Ukiwaona hapo utafikiri wanajadili mambo ya maana kumbe wanawaza matumbo yao tu!
Shetani wenu KAYAFA aliwaza nini? Kubalini matokeo nyie kima.
 
kuna wakati walishawahi kuwaza mambo ya maana? ni lini viongozi wa Tz waliwawazia watu wao?
unakijua kijiji cha ndugai zile apartment pale dodoma tuseme alijenga kwa pesa yake au ni wizi?
majuha bado wanacheza nachi, wakifikiria ccm ipo kwa ajili yao
Unakuta hapo anamwambia ummi na wew muende mkalitazame
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 11 Machi, 2023

View attachment 2546498View attachment 2546499
[emoji117][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji117][emoji117][emoji117][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji117][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]
 
Hapo yanajamba hovyo tu.
Haya matakataka ya ccm yanakera.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 11 Machi, 2023

View attachment 2546498View attachment 2546499
Angefuta ile kauli eti wale kwa urefu wa kamba za malisho tukisikia. Hii ili tukatisha imani ccm asilia. Tena wasituitage wahafidhina maana sisi tumesimama kwenye itikadi ya chama. Ujamaa na kujitegemea
 
Back
Top Bottom