Rais Samia Suluhu alazimika kufuta post yake ya Twitter aliyotoa taarifa ya kuwasili Dar. Ni baada ya malalamiko kuhusu mabando kuzidi kwa wachangiaji

Bongo raha sanaaaaπŸ˜πŸ‡ΉπŸ‡Ώβ™₯οΈβœŒπŸ‘

View attachment 1742434
Sihami bongo hakiπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Dah πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Huyu chalii kanichekesha sana
 
Mama mpaka instagram yupo na verified kabisa.
 
Mpaka insta yupo.
 
Kuna Jambo tuliweke sawa, naona wasaidizi wa Mama Wanamislead maswala ya Mama, na hili nina Ushahidi nalo.

Juzi Mama akiapishwa alikuwa VP na punde tu baada ya kuapa akawa P, kilichotokea kwenye Ac ya Twitter waliupdate fasta kwamba ni President, means Mama haiendeshi ile Ac ila wasaidizi wake, sasa may be uko muda Mama analog in kupata taarifa mbalimbali na pia wasaidizi wake nao nawalog in kutoa taarifa, hapa ndipo utata unapoanzia. Tusimlaumu.
#Code
 
Hakuna kiongozi yeyote Duniani anayeshinda mtandaoni aliyefanikiwa hakuna na aliyemshauri huyu mama kuwa mtu wa mitandaoni bhasi ajue soon kutaongozwa na mawazo ya wahuni wa Twitter naona anaenda kuungana na wakina Kigwangala
Ehhh unadhani ni age yako ile?na siasa wadhani kaanza Leo?tulia wewe...mama anajielewa kuliko unavyodhani...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…