Yaani wewe unaamini JPM alichukiwa, umati uliomuga juzi ulisombwa kwa kulazimishwa.Hakunaga kama JPM mtabaki na chuki zenu za kikabila lakini historia imeandikwa kuwa JPM alikuwa mzalendo namba 1Asipokuwa makini, na yeye atajikuta anachukiwa na wananchi walio wengi kama ilivyokua kwamtangulizi wake, aliyechagua kuwa mkaidi mwanzo mwisho.
Wananchi tulio wengi si wanachama wa chama chochote kile cha kisiasa. Sisi tunahitaji maisha bora, utawala bora na siasa safi.
Ndugu yangu unawachokoza eeh, ndio wao wameshika nchi sasa, wape uhuru wao tuachane na mfumo dume sasa tuwe neutral vinginevyo watakushukia kama mwewe.Ile akaunti sijaielewa kabisa...hao wanaoiendesha wapunguze ushamba kidogo
Akaunti ya Mkuu wa Nchi huwa haipost mambo hovyo hovyo....wafuatilie akaunti za viongozi wenzake wajifunze mambo yalivyo
Au hata kwa Mtangulizi wake Hayati JPM..
May be anayeiendesha ile akaunti ya Mama yetu Raisi inawezekana mwanamke mwenzie..... kwa sabbu wanawake kwa vijipost post hawajambo wanadhani bado ni VP......
Kiufupi yule tayari ni Mkuu wa Nchi..Dunia nzima inamfuatilia 24hrs
Mkuu mara nyingi viongozi wakuu wa nchi sio hao wanaoendesha hizi account za social mediaHakuna kiongozi yeyote Duniani anayeshinda mtandaoni aliyefanikiwa hakuna na aliyemshauri huyu mama kuwa mtu wa mitandaoni bhasi ajue soon kutaongozwa na mawazo ya wahuni wa Twitter naona anaenda kuungana na wakina Kigwangala
Hahahha yawezekana ... kwa bahati mbaya watu wengi wanajua Mama ndio huwa anakaa na simu nakuanza kupost..Ile akaunti sijaielewa kabisa...hao wanaoiendesha wapunguze ushamba kidogo
Akaunti ya Mkuu wa Nchi huwa haipost mambo hovyo hovyo....wafuatilie akaunti za viongozi wenzake wajifunze mambo yalivyo
Au hata kwa Mtangulizi wake Hayati JPM..
May be anayeiendesha ile akaunti ya Mama yetu Raisi inawezekana mwanamke mwenzie..... kwa sabbu wanawake kwa vijipost post hawajambo wanadhani bado ni VP......
Kiufupi yule tayari ni Mkuu wa Nchi..Dunia nzima inamfuatilia 24hrs
Hahahahhaha mama watoto wanamdekea
Ukweli kipindi cha Jiwe Moyo wangu ulikosa furaha moyoni hakika sikumuona kama ana roho ya Utu... na uhakika Tanzania tutapanda juu katika Nchi zenye furaha Duniani...
Atachukiwa na wananchi wa jamhuri ya Twitter, aliemtangulia uliona alivyoagwa, sasa msijidanganye he was hated sababu ya chuki from fake accounts in TwitterAsipokuwa makini, na yeye atajikuta anachukiwa na wananchi walio wengi kama ilivyokua kwamtangulizi wake, aliyechagua kuwa mkaidi mwanzo mwisho.
J4 Zege lisilale aiseee @ SSH
Siyo kweli kwamba Rais aliepita alichukiwa na watu walio wengi bali the opposite yake. Na ili afanikiwe ni lazima asipitie mbali na njia aliyopita mtangulizi wakeAsipokuwa makini, na yeye atajikuta anachukiwa na wananchi walio wengi kama ilivyokua kwamtangulizi wake, aliyechagua kuwa mkaidi mwanzo mwisho.
Not easy!Asipokuwa makini, na yeye atajikuta anachukiwa na wananchi walio wengi kama ilivyokua kwamtangulizi wake, aliyechagua kuwa mkaidi mwanzo mwisho.
Ndiyo,tena january ndiye alimuungia,akamshukuru mnoMama nae anatweet kwa kutumia VPN!?
Mbona hujatuweka kwenye orodha sisi wahanga wa NSSF?Kwa akili zako unaamini wote walio mchukia mtukufu wako hayati walikuwq ni Bavicha! Watumishi wa umma wote walio dhulumiwa haki zao ni Bavicha, Wastaafu wanaodai mafao yao ni Bavicha, wale wakulima wa korosho walio sumbuliwa kipindi kile ni Bavicha!
ok!! Basi sawa.
Mama angeachana au ashauliwe kuhusu matumizi ya mitandaoMakabwela ambao wametoa malalamiko lukuki ya malipo ya bando jipya wamemlazimisha Rais Samia Suluhu kufutilia mbali post yake ya Twitter aliyoitoa ambapo alitoa taarifa rasmi ya kuwasili Dar leo.
Hii inakuwa post yake ya kwanza kuifutilia mbali tangia awe Rais rasmi wa Jamhuri ya muungano ambapo wengi wa wachangiaji wake wamemuomba kutengua uteuzi wa waziri wa teknolojia ya habari ndugu Faustine Ndugulile na mkurugenzi mkuu wa TCRA kutokana na kutokuchukulia maanani uzito wa malalamiko yao kuhusu malipo ya bando ìla mitandao yote ya mawasiliano nchini.
Tusubiri tuone!
Wengine sisi tulienda kuhakikisha km kweli ameondoka maana kuna kudanganyana mkatukamata tuliokuwa Bar na kuchinja mbuziMkuu acha kutudanganya ,mtu anayechukiwa angeagwa kiasi kile? Mambo mengine muwe mnaona aibu kuyaandika ni bora uyazungumzie chumbani na mkeo.