Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
HABARI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewapongeza Tabora United kwa ushindi wa goli 3-1 walioupata leo Novemba 7, 2024 dhidi ya Yanga SC.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Rais Samia amendika hivi:
“Pongezi kwa Tabora United kwa ushindi wenu dhidi ya Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu.
“Ninyi na klabu zote washiriki mnaipa Ligi hii thamani inayovutia uwekezaji kibiashara na ajira, na yenye mvuto wa kipekee katika ukanda huu wa Afrika. Endeeleni kutoa burudani kwa mamilioni ya Watanzania ndani na nje ya nchi yetu.”
#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania.
“Pongezi kwa Tabora United kwa ushindi wenu dhidi ya Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu.
“Ninyi na klabu zote washiriki mnaipa Ligi hii thamani inayovutia uwekezaji kibiashara na ajira, na yenye mvuto wa kipekee katika ukanda huu wa Afrika. Endeeleni kutoa burudani kwa mamilioni ya Watanzania ndani na nje ya nchi yetu.”
#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania.