Noel wa ruben
JF-Expert Member
- Oct 11, 2020
- 364
- 515
Jaffo katoa jicho hakuamini alichokisikia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilimwona Jaffo akihema huku katoa macho! Yeye mwenyewe alijua tayari kimenuka! Daah kuna wakati wanawake wanahuruma!Kamstahi tu Jaffo.. ila alikuwa anamla kichwa pale pale
Kila mtu alikua anamuogopa mwendazake....Mimi najiuliza hivii...!!
1. Huo ubadhirifu umefanyika baada ya tarehe 6 March 2021?
2. Au huo ubadhirifu umefanyika baada ya tarehe 17 March 2021?
3. Kama ubadhirifu ulikuwepo? Kwanini haukusemwa kabla?
Ni hoja dhaifu sana hii, utadhani wewe ni hodari sana kusimama kama Rais, watu wa kukosoa kila jambo hamna nafasi katika taifa hili maana hamna zuri hata moja mtashukuruWateule wa JPM hao sasa iweje wafikie hatua ya kuwa wezi? Hapa ndio napata picha JPM hakuwa mzalendo
Ni kweli,Ndio maana tulikuwa tunasema awamu ya meko ina wapiga dili kibao kuliko hata awamu ya kikwete.
Sasa hizo pesa za kutoa gawio walikuwa wanazitoa wapi? Nchii hii ngumu aisee. SSH ana kazi.Tuliaminishwa kuwa awamu ya 5 hakuna wwpigaji
Tuliaminishwa shirika la ndege linaingiza faida mpaka kufikia kutoa gawio kumbe ni hasara tupu
Unachotaka kusema hiyo report ya cag imeandaliwa mwezi huu tar 17 march baada ya jpm kufariki?Mkuu nani angethubutu kusema? Hiyo hasara ya ATCL yenyewe imesemwa leo kwa sababu Meko yuko chini ya ardhi, miaka 5 mfulilizo hakuna faida na tulidanganywa kwamba ATCL inaingiza faida kubwa.
Huwa anatoa vitu vina ukweli sana, nahisi huwa hatoi taarifa bila kuijua kiundaniHapo ndio utamkubali Kigogo, maana alishasema
View attachment 1736493
Shemela, Naomba niitie akina mitano tena kene uzi huu... Tafadhari shemu wanguKila mtu alikua anamuogopa mwendazake....
Ilikua one man show, kazi ya Mola haina makosa.
Hii ni fursa. Mtu afungue gazeti aliite Kigogo nadhani litauza sana.Kigogo yupo Ikulu.
Tunasumbuana tu.
Ni kweli. Jamnai mbona inasemékana kuwa Magufuli alikomesha kila kitu kuhusu ufisadi pale? Au ametuymbuliwa kwa sababu ya hizi fedha wanazosema walitaka kuzichota juzi ili kubakisha watu wa Magufuli kwenye system baada ya kufariki. Pia kuhonga ili makamu awe mtu wa Magufuli. Chahali ali tweet hili juzi ileeeTPA tokea enzi na enzi za kina Janguo, haijawahi kutengemaa aisee!
Kuwasimamisha wa chini ya DG haikuwa sahihi bila kumuwajibisha yeye DG.
Everyday is Saturday................................ 😎
Subir utaelewa tu muda si mrefuHuko ccm Kwan Kuna pande ngapi ?
Wale wa mitano tena waje waseme sasa..!!! Wale wa atake asitake waingie watuambie hasara hii imetokana na nini?Mkuu nani angethubutu kusema? Hiyo hasara ya ATCL yenyewe imesemwa leo kwa sababu Meko yuko chini ya ardhi, miaka 5 mfulilizo hakuna faida na tulidanganywa kwamba ATCL inaingiza faida kubwa.
Ina maana JPM hajawahi kutumbua yoyote aliyemteua?
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Serikali ni taasisi mkuuRaisi JPM alitumbua sana ila hakukuwa na mfumo. Namuona mama kama mtu atakayewezesha mfumo kuliko utumbuaji.