Rais Samia Suluhu amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Deusdedit Kakoko

Rais Samia Suluhu amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Deusdedit Kakoko

Alikuwa mzalendo. Hili sina ubishi nalo. Ila alikuwa mzalendo asiye na clue afanye nini kuipeleka Tanzania mbele. Alikuwa na udhaifu mwingi ambao watu waliutumia kupiga. Alikuwa hajui kuteua watu wazuri kwani alikuwa anapofushwa na kupenda kuabudiwa na chuki yake kwa baadhi ya watu.
I second you. JPM kwa uzalendo alikua namba moja, sidhani kama kuna Rais aliyekua na uchungu na hii nchi kama yule mzee

Tatizo lake kubwa alikua anataka kutengeneza "Cult personality" kwamba watu wote waone juhudi zake yeye kama yeye binafsi sio serikali kwa ujumla. Na watoto wa mjini walilijua hilo wakawa wananata na biti hapo hapo kumpamba huku wanafanya mitikasi yao
 
Kisa ubadhirifi mkubwa bandarini. Ripoti ya CAG yamkaanga japo CAG hakitoa pendekezo la kumsimamisha kazi, badala yake wamesimamishwa wa chini. Mheshimiwa Rais kaamua kumtubua mkubwa.
Source : TBC.
Report zote za CAG hakuna sehemu anatoa mapendekezo mtu asimamishwe, yeye huwa anatoa mapendekezo namna ya kulikabili tatizo kulingana finding, implication na cause.

User including authorities ndo wana take action.
 
Ata sijaelewa mara makotena mara bifu, mara kigogo, ngoja nirudie kusoma upya
 
Kulikoni wamechill kwa wasi wasi kiasi hiki.
IMG_20210328_114518.jpg
 
Ni kweli. Jamnai mbona inasemékana kuwa Magufuli alikomesha kila kitu kuhusu ufisadi pale? Au ametuymbuliwa kwa sababu ya hizi fedha wanazosema walitaka kuzichota juzi ili kubakisha watu wa Magufuli kwenye system baada ya kufariki. Pia kuhonga ili makamu awe mtu wa Magufuli. Chahali ali tweet hili juzi ileee
#BreakingNews: Tanzania Port Authority chief, from "Chato Inc" tried to siphon Tsh 48 billion (approx USD 20.7) from TPA's account at Central Bank for purpose of influencing member of powerful ruling party commettee to keep Magufuli's appointees in their current posts
Duhh... Mama eee...
 
Aah waapi. Ripoti ni ya CAG tena wa awamu iliyopita mstaafu anatoka wapi?
Hujiuliz why Dg katumbuliwa baada ya Rais kusomewa Ripot na kutambua kua Dg hafai Kuna madudu Wakat before kigogo amesha jua inamaana kigogo alijua before kua fulan analiwa kichwa on time
 
I second you. JPM kwa uzalendo alikua namba moja, sidhani kama kuna Rais aliyekua na uchungu na hii nchi kama yule mzee

Tatizo lake kubwa alikua anataka kutengeneza "Cult personality" kwamba watu wote waone juhudi zake yeye kama yeye binafsi sio serikali kwa ujumla. Na watoto wa mjini walilijua hilo wakawa wananata na biti hapo hapo kumpamba huku wanafanya mitikasi yao
Tupo pamoja sana.
 
Ni kweli. Jamnai mbona inasemékana kuwa Magufuli alikomesha kila kitu kuhusu ufisadi pale? Au ametuymbuliwa kwa sababu ya hizi fedha wanazosema walitaka kuzichota juzi ili kubakisha watu wa Magufuli kwenye system baada ya kufariki. Pia kuhonga ili makamu awe mtu wa Magufuli. Chahali ali tweet hili juzi ileee
#BreakingNews: Tanzania Port Authority chief, from "Chato Inc" tried to siphon Tsh 48 billion (approx USD 20.7) from TPA's account at Central Bank for purpose of influencing member of powerful ruling party commettee to keep Magufuli's appointees in their current posts
Hakuna kitu, UNAZIKUMBUKA ZILE AMBULENCE SIJUI ZILIPOTEA SIJUI ZILIFICHWA BANDARI..!!??
 
I second you. JPM kwa uzalendo alikua namba moja, sidhani kama kuna Rais aliyekua na uchungu na hii nchi kama yule mzee

Tatizo lake kubwa alikua anataka kutengeneza "Cult personality" kwamba watu wote waone juhudi zake yeye kama yeye binafsi sio serikali kwa ujumla. Na watoto wa mjini walilijua hilo wakawa wananata na biti hapo hapo kumpamba huku wanafanya mitikasi yao
Mie naamini Mwl Nyerere alikuwa zaidi yake
 
Mama Tena kuwa makini Sana na MATAGA,hawakawii kukuambia unakataa,unakataa nin..?

Tunakulazimishaa...!!

Miyeyusho Sana hao,hebu check hapo kwa Mfugale pia,maana naskia kulikuwa ni kichaka Cha upigaji sana hapo Tena ni Untouchables,real Untouchable Gang...!!
 
Back
Top Bottom