Da hoja ya kitoto kweli. Ulishawahi kujiuliza anapokaa Rais, Makamu wake na Waziri mkuu huwa wanajadili nini!?????
Unalotakiwa kujua ni kwamba serikali sio mtu ni taasisi. Na afanyalo rais ni matokeo ya kazi ya wasaidizi wake.
Issue ya huyu kakoko imeanza kushighulikiwa kilichokua kikisubiriwa ni report ili atumbuliwe
Leo tarehe 27/12/2020 Waziri Mkuu ambaye ni Mbunge wa Ruangwa amefika katika bandari ya Dar es Salaam More to follow ===== WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwenda kufanya ukaguzi maalum katika bandari za Dar es Salaam, Mwanza...
www.jamiiforums.com