mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
We ni kilaza sana shame on you.TPA kirefu chake ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ni kilaza sana shame on you.TPA kirefu chake ni nini?
Tatizo la yule mzee lilikuwa kwenye hiki kitu kimoja tu kinachoitwa "Double Standard" Aliendekeza sana hiki kitu ndani ya utawala wake.Kwa sifa anazopewa shujaa wetu wa Afrika ninashangaa kwanini hakuona huo uozo mapema!!
Uzalendo wake ulikuwa ni wa mdomoni wa kuwahadaa wanyonge wake alokuwa akiwaongelea kila siku maana anajua hawana ufahamu wa kuyatambua hayo.Wateule wa JPM hao sasa iweje wafikie hatua ya kuwa wezi? Hapa ndio napata picha JPM hakuwa mzalendo
Kwa Shirika la Ndege Mkuu....Hayati Alikuwa mchungu mno asiyeshaurika Kwalo....Ni hoja dhaifu sana hii, utadhani wewe ni hodari sana kusimama kama Rais, watu wa kukosoa kila jambo hamna nafasi katika taifa hili maana hamna zuri hata moja mtashukuru
Kiufupi ni kwamba Dg aliwahi kuziwia makontena ya mama yetu yule mbunge wa kule Nan. Alie wahi kua first Lady.
Mzee alichachamaa Sana na kufikia Hatua mpaka ya kuita wazee wa Baraza na kuwaambia kua anacho fanya Hayat hajakipenda na Akubalian nacho
Mambo yakaenda wakayamaliza ila Bifu lilibak hasa kwa uyo Dg mana yeye ndie alie toa Amri ya kuziwia contena kipind icho
Pia bila shaka system Ile ya nimeichukua ka hela kaMboga imesha shika uskan walio kua Upande wa Hayat na wakabania watu wa system wajiandae mana soon wanaliwa vichwa pia mama yetu tayar Amesha chagua Upande
Kigogo pia ni mtu Wa Ndan ya ccm Ile ya system ndiomana amejua kua fulan siku fulan hato kuepo atatimuliwa sababu majina yote ya watu wasio hitajika hata yeye anayo so kazi yake ni kuyasoma tu na kuyataja hadharan
Kwa hili ni wazi kabisa kua kigogo ni vigogo time will tell
Mama amesha chagua Upande
Tumia akili kidooogo, wewe unadhani huo uozo TPA umeanza tarehe 17/03 baada ya MEKO kufariki? Meko alikuwa anajua kila kitu, lakini hakuruhusu vitolewe hadharani ili kuficha madudu yake. Hivi wewe unadhani ile report ya CAG leo ndiyo raisi anaiona?Unachotaka kusema hiyo report ya cag imeandaliwa mwezi huu tar 17 march baada ya jpm kufariki?
Hayati aliweka wahuni kwenye mshirika ili waseme uongo na kutuhadaa wananchiWalikuwa wanachota kwenye mtaji labda au zilikuwa story za kuwahadaa wanyonge.
Walikuwa wanachota kwenye mtaji labda au zilikuwa story za kuwahadaa wanyonge.
Usinibandikie hisia wala maneno.. Elewa nilikiandika tu... haya ya kusubiri mtu afe ni yako...Kwa hiyo Unavyoelewa wewe waziri mkuu alikurupuka kwenda kutoa maagizo bandari?
Halafu kingine unacholazimisha ni kwamba Samia alikua anasubiri kifo ndio huyo mtu atumbuliw?
Rudi kwenye attach,ents nilizokuwekea walau uelewe serikali ni taasisi
Hakika wengine wajiandae, vipi yule dogo aliyegombea ubunge kawe then akapitishwa gwajima yupo?Huyo ni kati ya inner core wa JPM! Ama kweli kila zama na kitabu chake
Huku akisimanga awamu zilizopita hadharani kuwa mambo yalofanyika hadi unashangaa kama viongozi walikuwepo. Haya sasa mficha maradhi........Mbona tuliambiwa awamu ya tano hakuna wizi wala ubadhirifu?
Unamzungumziaje hasara za ATCL kwa miaka mitanoTPA inahitaji kuendeshwa kijeshi mpaka inakapoweza kujitambua.
Kakoko asingeweza kudhibiti ubadhilifu, hujuma na wizi bandarini na ni mwepesi sana.
Kuna mtu amemtaja marehemu mzee Janguo lakini yule nae hakuweza kuthibiti TPA basi aliweza kusawazisha kulingana na serikali zilizokuwepo wakti ule.
Nasema hivi kwasababu mimi binafsi nimewahi kufanya kazi ya utoaji mizigo bandarini na naelewa matatizo haya yanoikumba TPA.
Mama Samia mteue mwanajeshi mwenye shahada ya uendeshaji asimamie shirika hili ambalo ni moja ya njia kuu ya mapato Tanzania.
Pili, serikali ikubali igharamie teknolojia katika bandari zetu na iondokane na paperwork. Pia kuwepo idara maalum ya ku-monitor kila tukio kuanzia meli inapotia nanga hadi mizigo inapokuwa "cleared".
Hali hiyo iwe pia kwenye uingizaji mafuta kule TIPPER.
Paperwork ni moja ya njia kuu za ubadhilifu kwenye bandari zetu ikiwemo bandari ya Daesaama.
Kwa JPM haikuwa taasisi, ilikuwa ni one man show!Serikali ni taasisi mkuu
Sasa mkuu ulisoma hzo kwa. Lengo la kuja kuajiriwa Tz.una akili kweliDah mkuu unanipa furaha kabisa. Yani degree yangu na masters ya nuclear aerospace na atomic engineering imekaa kizembezembe kabatini.
Tukumbushe pale ambapo kigogo alitabili mtu kutumbuliwa na JPMKigogo anajua mambo mangapi? Si amekuwa mtabiri tangu enzi za chuma JPM? Hivyo ni visingizio tu.
Aliteuliwa na jpm kwa urafiki, na angekuwa jpm asingemfukuza, angesema mimi sipangiwi, natamani huyu Samia afukuze wote walioteuliwa na magufuri, ili kufuta hizo elements serikaliniRais Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali na Ripoti ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, ametoa agizo la kusimamishwa Mkurugenzi Mkuu wa Bandari(TPA) kutokana ubadhirifu mkubwa unaoikumba mamlaka hiyo.
Mkurugenzi mkuu huyo anasimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi wa kina.
Kwa usaniii aliotufanyia basi Mungu amlaze hayati anapostahiliKwani kulikuwa na gawio? Ule ulikuwa usanii wa Meko tu, ili kuaminisha watu kuwa shirika la ndege lilikuwa linapata faida.
Kuna watu walisema ATCL inafanya hasara. Meko akatengeneza huo usanii ili kuwazodoa waliokuwa wanasema ATCL inapata hasara.
Kwani kulikuwa na gawio? Ule ulikuwa usanii wa Meko tu, ili kuaminisha watu kuwa shirika la ndege lilikuwa linapata faida.
Kuna watu walisema ATCL inafanya hasara. Meko akatengeneza huo usanii ili kuwazodoa waliokuwa wanasema ATCL inapata hasara.
Kwa hiyo Unavyoelewa wewe waziri mkuu alikurupuka kwenda kutoa maagizo bandari?
Halafu kingine unacholazimisha ni kwamba Samia alikua anasubiri kifo ndio huyo mtu atumbuliw?
Rudi kwenye attach,ents nilizokuwekea walau uelewe serikali ni taasisi