Rais Samia Suluhu amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Deusdedit Kakoko

Rais Samia Suluhu amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Deusdedit Kakoko

Wateule wa JPM hao sasa iweje wafikie hatua ya kuwa wezi? Hapa ndio napata picha JPM hakuwa mzalendo
Uzalendo wake ulikuwa ni wa mdomoni wa kuwahadaa wanyonge wake alokuwa akiwaongelea kila siku maana anajua hawana ufahamu wa kuyatambua hayo.
 
Ni hoja dhaifu sana hii, utadhani wewe ni hodari sana kusimama kama Rais, watu wa kukosoa kila jambo hamna nafasi katika taifa hili maana hamna zuri hata moja mtashukuru
Kwa Shirika la Ndege Mkuu....Hayati Alikuwa mchungu mno asiyeshaurika Kwalo....
 
Kiufupi ni kwamba Dg aliwahi kuziwia makontena ya mama yetu yule mbunge wa kule Nan. Alie wahi kua first Lady.
Mzee alichachamaa Sana na kufikia Hatua mpaka ya kuita wazee wa Baraza na kuwaambia kua anacho fanya Hayat hajakipenda na Akubalian nacho

Mambo yakaenda wakayamaliza ila Bifu lilibak hasa kwa uyo Dg mana yeye ndie alie toa Amri ya kuziwia contena kipind icho


Pia bila shaka system Ile ya nimeichukua ka hela kaMboga imesha shika uskan walio kua Upande wa Hayat na wakabania watu wa system wajiandae mana soon wanaliwa vichwa pia mama yetu tayar Amesha chagua Upande

Kigogo pia ni mtu Wa Ndan ya ccm Ile ya system ndiomana amejua kua fulan siku fulan hato kuepo atatimuliwa sababu majina yote ya watu wasio hitajika hata yeye anayo so kazi yake ni kuyasoma tu na kuyataja hadharan

Kwa hili ni wazi kabisa kua kigogo ni vigogo time will tell

Mama amesha chagua Upande


Mkuu, kwa hiyo, ulitaka ubadhirifu wa TZS 3.6 Bilioni hapo TPA upite bila DG kuwajibishwa?

Hadithi yako haikubaliki kamwe.
 
Unachotaka kusema hiyo report ya cag imeandaliwa mwezi huu tar 17 march baada ya jpm kufariki?
Tumia akili kidooogo, wewe unadhani huo uozo TPA umeanza tarehe 17/03 baada ya MEKO kufariki? Meko alikuwa anajua kila kitu, lakini hakuruhusu vitolewe hadharani ili kuficha madudu yake. Hivi wewe unadhani ile report ya CAG leo ndiyo raisi anaiona?
 
Hapo BoT kuna wahusika wana shughulikiwa kwa haraka. Walio kwapua pesa wana julikana. Ila kaamua kiwa na ushahidi. Naona hapa ana chelewesha mambo maana jamaa wata ficha ushahidi. Au wazuiliwe kuingia ofisini. Hasa Dotto James na KmK wao walichota jamaa akiwa hoi.
 
Kwa hiyo Unavyoelewa wewe waziri mkuu alikurupuka kwenda kutoa maagizo bandari?
Halafu kingine unacholazimisha ni kwamba Samia alikua anasubiri kifo ndio huyo mtu atumbuliw?
Rudi kwenye attach,ents nilizokuwekea walau uelewe serikali ni taasisi
Usinibandikie hisia wala maneno.. Elewa nilikiandika tu... haya ya kusubiri mtu afe ni yako...

Haya, kutoa maagizo bandari mwisho wake ilikuwa nini? Vile viambulensi hukufiona mitaani ? Lakini si unajuwa kuwa tuliambiwa sijui vimepotea sijui vilifichwa, YAANI MZIGO MKUBWA VILE UNAFICHWAJE BANDARINI PALE?
 
TPA inahitaji kuendeshwa kijeshi mpaka inakapoweza kujitambua.

Kakoko asingeweza kudhibiti ubadhilifu, hujuma na wizi bandarini na ni mwepesi sana.

Kuna mtu amemtaja marehemu mzee Janguo lakini yule nae hakuweza kuthibiti TPA basi aliweza kusawazisha kulingana na serikali zilizokuwepo wakti ule.

Nasema hivi kwasababu mimi binafsi nimewahi kufanya kazi ya utoaji mizigo bandarini na naelewa matatizo haya yanoikumba TPA.

Mama Samia mteue mwanajeshi mwenye shahada ya uendeshaji asimamie shirika hili ambalo ni moja ya njia kuu ya mapato Tanzania.

Pili, serikali ikubali igharamie teknolojia katika bandari zetu na iondokane na paperwork. Pia kuwepo idara maalum ya ku-monitor kila tukio kuanzia meli inapotia nanga hadi mizigo inapokuwa "cleared".

Hali hiyo iwe pia kwenye uingizaji mafuta kule TIPPER.

Paperwork ni moja ya njia kuu za ubadhilifu kwenye bandari zetu ikiwemo bandari ya Daesaama.
Unamzungumziaje hasara za ATCL kwa miaka mitano
 
Rais Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali na Ripoti ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, ametoa agizo la kusimamishwa Mkurugenzi Mkuu wa Bandari(TPA) kutokana ubadhirifu mkubwa unaoikumba mamlaka hiyo.

Mkurugenzi mkuu huyo anasimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi wa kina.
Aliteuliwa na jpm kwa urafiki, na angekuwa jpm asingemfukuza, angesema mimi sipangiwi, natamani huyu Samia afukuze wote walioteuliwa na magufuri, ili kufuta hizo elements serikalini
 
Kwani kulikuwa na gawio? Ule ulikuwa usanii wa Meko tu, ili kuaminisha watu kuwa shirika la ndege lilikuwa linapata faida.
Kuna watu walisema ATCL inafanya hasara. Meko akatengeneza huo usanii ili kuwazodoa waliokuwa wanasema ATCL inapata hasara.
Kwa usaniii aliotufanyia basi Mungu amlaze hayati anapostahili
Kwani kulikuwa na gawio? Ule ulikuwa usanii wa Meko tu, ili kuaminisha watu kuwa shirika la ndege lilikuwa linapata faida.
Kuna watu walisema ATCL inafanya hasara. Meko akatengeneza huo usanii ili kuwazodoa waliokuwa wanasema ATCL inapata hasara.
 
Kwa hiyo Unavyoelewa wewe waziri mkuu alikurupuka kwenda kutoa maagizo bandari?
Halafu kingine unacholazimisha ni kwamba Samia alikua anasubiri kifo ndio huyo mtu atumbuliw?
Rudi kwenye attach,ents nilizokuwekea walau uelewe serikali ni taasisi

Kwanini mnasahahu kuwa makamu wa Raisi kazi yake kuu ni kutembea na mkasi kukata utepe na sio kutoa maagizo? Tena serekaki ya jiwe labda akutume, kama hajakutuma uthubutu kutoa amri yeyote.
 
Back
Top Bottom