Rais Samia Suluhu amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Deusdedit Kakoko

Rais Samia Suluhu amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Deusdedit Kakoko

Kiufupi ni kwamba Dg aliwahi kuziwia makontena ya mama yetu yule mbunge wa kule Nan. Alie wahi kua first Lady.
Mzee alichachamaa Sana na kufikia Hatua mpaka ya kuita wazee wa Baraza na kuwaambia kua anacho fanya Hayat hajakipenda na Akubalian nacho

Mambo yakaenda wakayamaliza ila Bifu lilibak hasa kwa uyo Dg mana yeye ndie alie toa Amri ya kuziwia contena kipind icho


Pia bila shaka system Ile ya nimeichukua ka hela kaMboga imesha shika uskan walio kua Upande wa Hayat na wakabania watu wa system wajiandae mana soon wanaliwa vichwa pia mama yetu tayar Amesha chagua Upande

Kigogo pia ni mtu Wa Ndan ya ccm Ile ya system ndiomana amejua kua fulan siku fulan hato kuepo atatimuliwa sababu majina yote ya watu wasio hitajika hata yeye anayo so kazi yake ni kuyasoma tu na kuyataja hadharan

Kwa hili ni wazi kabisa kua kigogo ni vigogo time will tell

Mama amesha chagua Upande
100%
 
Alimuambia Kakoko kesho asiende Kazini kwa Vitasa vya mlango vimeshabadilishwa na asubiri taarifa tu.
Na kweli Mh. Samia kashatoa taarifa ya kumsimamisha kazi.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Halafu wanamtafuta Kigogo Manzese! Hii Serikali inadharau Sana. Kigogo wanakula nae, walienda wote kuzika NK NK wasitusumbue.
 
Nadhani ningeiweka kitaalam sana. Huwa sipendi kuongelea wakati wa Nyerere ilikua nyakati tofauti sana, uzalendo wa Nyerere una namna yake manaake alilelewa na wakoloni, kakulia kasomeshwa na akapambana kwa namba yake na pia nchi ndio ilikua inazaliwa. Akaisuka na kuunda taasisi. Fore fathers sio wa kuwaweka kundi moja na hawa ambao wamekuja nchi inajitambua kabisa.

Ndo maana JKN huwa sipendi kumuongelea na Rais yoyote yule. Yule yuko kwenye league of his own. Yule alinganishwe na kina Kwame, Kaunda na kina George Washington
We muongo Sana, ndio kiongozi katenda ila sio kiwango hicho mnachosifia , Sasa subili ko atapigwa na mrithi wake ,uongozi sio kutumia nguvu check president wa GHANA
 
Hayati! Ama kwa hakika katika awamu yako pia dili na ufisadi mkubwa vilikuwepo, tena vikifanywa na watu wako wa karibu sana.

Vita ulivipiga na mwendo umemaliza. Roho ya marehemu ipate rehema na ipumzike kwa amani.

[emoji120]
 
Mama Tena kuwa makini Sana na MATAGA,hawakawii kukuambia unakataa,unakataa nin..?

Tunakulazimishaa...!!

Miyeyusho Sana hao,hebu check hapo kwa Mfugale pia,maana naskia kulikuwa ni kichaka Cha upigaji sana hapo Tena ni Untouchables,real Untouchable Gang...!!
Nyie ndio wale wa zamani mmerudi sasa
 
Watu wanafurahia ripoti imegusa vitu muhimu sana na mama kakazia kuwa haya mashirika yachunguzwe na CAG asiogope ili waweze kuyafanyia maamuzi sahihi. Huoni kuwa hilo ni jambo la kufurahi?
Si jambo baya maana walichukua maamuzi ha kuyachunguza kabla ya kuanza kukagua, ila kawasisitiza kuendelea hivohivo.
 
Ukiangalia jinsi rais alivyomsimamisha kazi mkurugenzi mkuu wa TPA ni uamuzi aliouchukua hapohapo baada ya kusomewa ripoti na CAG,sasa huyu kigogo alijuaje???..au kulikuwa na mipango ya mkurugenzi kutimuliwa kabla ya ripoti kusomwa??..huenda huyu kigogo anafanya kazi vizuri kabisa na serikali,baadhi ya viongozi wakubwa serikalini bila mzee pombe kujua..yaani rais alikuwa anazungukwa na wateuwa wake kwa maslahi Fulani!..
Ww bado mshamba huwezi jua
 
Back
Top Bottom