Rais Samia Suluhu amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Deusdedit Kakoko

Rais Samia Suluhu amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Deusdedit Kakoko

Kazi yake kukimbiakimbia tuu, hivi mlishamuona alipokuwa kwenye msafara wa Jpm
Kabla ya kumpa mtu wizara tuangalie na uwezo wake/ uzoefu. TAMISEMI ni wizara kubwa sana na ina wajanja wengi na wasomi pia. Lakini vilevile ni wizara yenye njaa hats deal la 5,000/= mtu haachi. Hii wizara inahitaji waziri mwenye uzoefu mkubwa na ufuatiliaji wa hali ya juu sio kurukaruka.
 
Wewe naweeeee
Hivi ukifa kabla ya kutekeleza baadhi ya mipango yako unaumbuliwa[emoji848][emoji848]
Basi Jiangalie sana na wewe na mipango yako usijeumbuliwa ukiwa marehemu
Jiwe alikua mpigaji... miradi ya chato ichunguzwe...bila kusahau kampuni ya mayanga construction.
 
System reboot Raisi mpya akiingia popote duniani hutokea hilo ili awe free kutekeleza vision yake

Mkurugenzi Barua kama anahitaji asubirie nyumbani au akakae getini geti la bandari maana korokoroni wa bandari hawatamruhusu kuingia .Sio wa Kwanza yeye ushauri aisubiri nyumbani kuna heshima zaidi kuliko kukaa juani geti la bandari

System reboot kitu cha kawaida ndani ya CCM na nje ya CCM na kwenye serikalli

Ukitizama hata jamii forums kuna active members wengi wengi watetezi wa CCM na Serikali iliyopita watapotea hewani sio kwa nia mbaya ni computer au system inakuwa rebooted Ku allow new software ya new president kufanya kazi bila interference ya old software

Na log off
 
Vichwa vyenye akili fupi vilivyozungumzia hasara ya B60 vinaongea kishabiki vinashindwa kutambua ya kwamba hata mashirika makubwa ya ndege yameingiza hasara kubwa sana....
mfano hata hawa jirani zetu Kenya Airways wametengeneza hasara ya B700....
Ethiopian Airlines hasara yaTrillion 1.1....
 
Wewe kwa akili yako, unafikiri ripoti hii imeandaliwa siku hizi mbili baada ya kufa Magufuli?
Imetolewa baada ya kifo chake... READ BETWEEN LINES...!!

Halafu jiulize, kwanini Mheshimiwa mama yetu awaambie TAKUKURU kuwa kama kuna kesi zisizo na kichwa ziondolewe..!?
 
Vichwa vyenye akili fupi vilivyozungumzia hasara ya B60 vinaongea kishabiki vinashindwa kutambua ya kwamba hata mashirika makubwa ya ndege yameingiza hasara kubwa sana....
mfano hata hawa jirani zetu Kenya Airways wametengeneza hasara ya B700....
Lakini hao wanakubalibkuwa Luna Hasara.... AFU USISAHAU KUNA NCHI HUKO kwa mwenzetu kuna mashoga....
 
Vichwa vyenye akili fupi vilivyozungumzia hasara ya B60 vinaongea kishabiki vinashindwa kutambua ya kwamba hata mashirika makubwa ya ndege yameingiza hasara kubwa sana....
mfano Kenya Airways wametengeneza hasara ya B700....
Mashirika makubwa yameingiza hasara kwasababu ya corona nahasara hizo ni 2019-2020 ila sisi tumeingiza hasara kwa miaka mitano, yani ndani ya miaka 5 tumepata hasara kila mwaka hasara hadi ifikie miaka mitano.....

Biashara ya ndege/ usafirishaji wa kutumia ndege tuliingia kichwakichwa.....ni biashara yenye miiko yake na inakwemda sawasawa na miradi yote nchini.....asilimia 70 ya watanzania hawawezi kulipia ndege na hawajahamasishwa kulipia ndege....

asilimia 30 wanauwezo huo wa kulipia ndege, hapo ni including wale watalii walio ndani ya nchi....tukiweka target ya hao watakaoturudishia hela kwa kupanda ndege tunaweza jua tuanzie wapi
 
Imetolewa baada ya kifo chake... READ BETWEEN LINES...!!

Halafu jiulize, kwanini Mheshimiwa mama yetu awaambie TAKUKURU kuwa kama kuna kesi zisizo na kichwa ziondolewe..!?
Akili yako fupi sanaa kama ndula
kwa mujibu wa sheria kila mwaka mwezi wa tatu lazima kuwe na report ya CAG
 
Vichwa vyenye akili fupi vilivyozungumzia hasara ya B60 vinaongea kishabiki vinashindwa kutambua ya kwamba hata mashirika makubwa ya ndege yameingiza hasara kubwa sana....
mfano hata hawa jirani zetu Kenya Airways wametengeneza hasara ya B700....
Ethiopian Airlines hasara yaTrillion 1.1....
Sawa. Kwanini mfiche kwa miaka yote mitano? Mlikuwa mnaficha kwa faida ya nani?
 
System reboot Raisi mpya akiingia popote duniani hutokea hilo ili awe free kutekeleza vision yake

Mkurugenzi Barua kama anahitaji asubirie nyumbani au akakae getini geti la bandari maana korokoroni wa bandari hawatamruhusu kuingia .Sio wa Kwanza yeye ushauri aisubiri nyumbani kuna heshima zaidi kuliko kukaa juani geti la bandari

System reboot kitu cha kawaida ndani ya CCM na nje ya CCM na kwenye serikalli

Ukitizama hata jamii forums kuna active members wengi watapotea hewani sio kwa nia mbaya ni computer au system inakuwa rebooted Ku allow new software ya new president kufanya kazi bila interference ya old software

Na log off
System reboot hiyo kwio. Magu kamaliza upigaji hivyo mitano tena yani
 
Back
Top Bottom