Rais Samia Suluhu amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Deusdedit Kakoko

Gerson Msigwa aondolewe ktk nafasi ya Muandishi wa Habari wa Raisi.

Msigwa hafanani kabisa kiweledi na watangulizi wake kama Paul Sozigwa,Hashim Mbita, Ben Mkapa, Sammy Mdee, Habib Halahala, Patrick Chokala, na wengine.
Una bonge la memory. HONGERA
 
Keshajichokea
 
Nadhani alikuwa anapewa info kabla ya tukio...leo hajapewa kashtukizwa tu...labda tumsaidie ku-edit zilizopita
 
Una uhakika gani kama Msigwa bado yupo kwenye ofisi ya rais mpya?
 
Huyo Gerson msigwa ni kama hajui hatma yake ya kazi, kwahiyo anafanya kazi kwa kuvizia vizia[emoji91][emoji91][emoji91]
Kwanza inawezekana asharudi kwao Kifanya njoombe
 
..Gerson Msigwa aondolewe ktk nafasi ya Muandishi wa Habari wa Raisi.

..Msigwa hafanani kabisa kiweledi na watangulizi wake kama Paul Sozigwa,Hashim Mbita, Ben Mkapa, Sammy Mdee, Habib Halahala, Patrick Chokala, na wengine.
Alipewa hiyo nafasi sababu ya ushemeji na mtoto wa jiwe
 

Una uhakika?
 
Msigwa ni kama ana kijitabia fulani hivi cha kumchukulia mama poa. Alianza kwa kumwandika Rais samia baada ya kukosolewa vikali na wadau ndio ameanza kuandika majina yote kwa utimilifu. Kama vipi apumzishwe tu maana hamna namna nyingine ya kumvumilia mtu anayeleta utani kwenye mamlaka ya nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…