Rais Samia Suluhu amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Deusdedit Kakoko

Walitaka kuondoa ukomo wa raisi kukaa madarakani, wakasahau kwamba hawawezi kuondoa ukoma wa maisha ya raisi.
Eti "atake asitake ni lazima......". Mungu akawauliza, mnasemaje?
 
Mambo yameanza kwa kasi Rais Samia amsimamisha kazi DG wa Bandari bwana Kakoko

Source TBC!

Mambo yameanza kwa kasi Rais Samia amsimamisha kazi DG wa Bandari bwana Kakoko

Source TBC!onjwa ule ule bado haujaisha!!
Kwa nini tunaonyesha kila dalili ya kufurahia jambo bila hata kuchukua muda kutafakari?
Amesimamishwa kazi na hajafukuzwa kazi.
Uchunguzi wa kina ufanyike!!
Kipi cha ku celebrate hapo?
Maskini watanzania!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…