Fumadilu Kalimanzila
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 1,770
- 5,423
TPA - Tanzania Port Authority
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawahi wapi mkuu... Mambi ndo nini!?Mambi yameanza kwa kasi Rais Samia amsimamisha kazi DG wa Bandari bwana Kakoko
Source TBC!
TPA=Tanzania Ports AuthorityTPA kirefu chake ni nini?
TPA kirefu chake ni nini?
Endeleeni kumtukana Kigogo sasaMambi yameanza kwa kasi Rais Samia amsimamisha kazi DG wa Bandari bwana Kakoko
Source TBC!
Alimuambia Kakoko kesho asiende Kazini kwa Vitasa vya mlango vimeshabadilishwa na asubiri taarifa tu.Alisemaje???
Tanzania Port AuthorityTPA kirefu chake ni nini?
Na pia kaagiza uchunguzi ufanyike benki kuu kuanzia January mwaka huuNaona sukumagang wanaanza Kula vitasa. Hongera mama safisha kambi ya meko haraka iwezekanavyo.
TAFUNA PESA ATUMBULIWI MTUTPA kirefu chake ni nini?
Mambo yameanza kwa kasi Rais Samia amsimamisha kazi DG wa Bandari bwana Kakoko
Source TBC!
Wizi na ubadhilifu ulikuwepo tulifichwa na bwana yule. Alitumbua baadhi wengine akawaacha, hasa wale wa Kanda pendwa.Mbona tuliambiwa awamu ya tano hakuna wizi wala ubadhirifu?