Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania Ports AuthorityTPA kirefu chake ni nini?
Sahihi kabisa, Selemani aache uswahili! Kaambiwa kama atashindwa aseme asaidiwe!
Jafo alikuwa mnafiki sana kipindi cha Rais Magufuli.Kila sentensi lazima ataje Magufuli kama kumi hivi!Kampiga mkwara na Jaffo kule TAMISEMI! Safi mama tuko nyuma yako!
Jamaa anaonekana ni mtu mwenye connection kubwa sanaHuyu jamaa aisee, heshima yake. Kalisema hili mapema saaaana yaani..
Duh...kasema ivoo...View attachment 1736504
Bwashee umefufukia wapi,wewe si walewale timu hayati,leo mtalala kaburini kwake mkimlilia....bado Dotto biteko,Dotto james,bashiru,mnyeti hawa wanajua siri zao za ukuta wa mererani,tunataka uchunguzi uanze na ukuta wa mereraniMambo yameanza kwa kasi Rais Samia amsimamisha kazi DG wa Bandari bwana Kakoko
Source TBC!
Tambua kwamba kigogo ana ukwasi possible hivyo vitu vyote akawa navyo kwa pamoja,ingekuwa ni taasisi/kikundi cha watu basi mmoja wapo angekuwa kashasnitch...Kigogo ni ghost/one man show.Taasisi..
Kikundi Cha watu...
iPhone ..iPad.. Mac
Twitter for...
Kawaida tu mkuuHivi Kigogo unajuaje haya mambo wewe jamaa?? Yaani wewe ntu
Mimi najiuliza hivii...!!Rais Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali na Ripoti ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, ametoa agizo la kusimamishwa Mkurugenzi Mkuu wa Bandari(TPA) kutokana ubadhirifu mkubwa unaoikumba mamlaka hiyo.
Mkurugenzi mkuu huyo anasimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi wa kina.
Wateule wa JPM hao sasa iweje wafikie hatua ya kuwa wezi? Hapa ndio napata picha JPM hakuwa mzalendo
Ndio maana tulikuwa tunasema awamu ya meko ina wapiga dili kibao kuliko hata awamu ya kikwete.Bwashee umefufukia wapi,wewe si walewale timu hayati,leo mtalala kaburini kwake mkimlilia....bado Dotto biteko,Dotto james,bashiru,mnyeti hawa wanajua siri zao za ukuta wa mererani,tunataka uchunguzi uanze na ukuta wa mererani
Samia angeweza hata kumtumbua Magufuli kwa jinsi alivyokuwa akilea wizi kushirikiana na majiziMambo yameanza kwa kasi Rais Samia amsimamisha kazi DG wa Bandari bwana Kakoko
Source TBC!
Oooyaaaaa!.........mama huyo anaingia kwa spidi....!Rais Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali na Ripoti ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, ametoa agizo la kusimamishwa Mkurugenzi Mkuu wa Bandari(TPA) kutokana ubadhirifu mkubwa unaoikumba mamlaka hiyo.
Mkurugenzi mkuu huyo anasimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi wa kina.
Huenda yupo humo humo ikulu.Duh...
Samia aiunde upya ikulu na taasisi ya tiss, haiwezekani huyu jamaa awe anapata taarifa kiasi hiki...
There is a big fissure somewhere...
Kamstahi tu Jaffo.. ila alikuwa anamla kichwa pale paleKampiga mkwara na Jaffo kule TAMISEMI! Safi mama tuko nyuma yako!
Kwa hiyo imekutachi eeh..bila shaka kuna uwazi ulidhani utatokea ila mh. Rais kaonyesha yuko na spidi ile ile hujapenda...Hata aliekuwa boss wake (kwa sasa ni marehemu) kule mwanzo mwanzo alianza kwa speed hivyo kadri siku zilivyokuwa zinaenda mgigo ukawa unpugwa vile vile