Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alisemaje?Kigogo yupo Ikulu.
Tunasumbuana tu.
Wakati ni hakimu wa hakiKwa sifa anazopewa shujaa wetu wa Afrika ninashangaa kwanini hakuona huo uozo mapema!!
Yaani akifanya hiloo!!mi5 tenaaHuyu ndio Rais nimtakae.... Bado Mei Mosi na Akiajiri graduates kadhaa kitaaa, basi saafi
Alisemaje?
Basi katafute nchi yako ya kuishi ambako watu hawali ubuyuHuyu ni hatari kwa usalama wa nchi, haiwezekani habari confidential ya nchi mtu wa pembeni anaipata within seconds, sio jambo la kufurahia japo najua wabongo kwa ujumla wetu tunapenda ubuyu. Binafsi sipendi, raisi anaandika kinote then within seconds kigogo ameipublish huko twitani, sio sawa hata kidogo...
Cjawahi pigia mtu kelele kwanza.. Pili cna haja ya kutafuta hutuba ninavojua alifukuza watu wengi hapo bandarini akidai ni wezi akaweka watu wake waaminifu sasa huu ubadhirifu imekuaje?Wewe ulifatilia hotuba ya Magufuri wakati anazindua bunge la2020? Kama ukufatilia nenda YouTube usikilize maneno yake, Tanzania ilipokuwa imefikia usiliweza kumaliza ubadhirifu kwa miaka mutano,hata hivo Magufuri alijitaidi sana pamoja na makerere yote mliokuwa mkipiga.
Mimi sijui kama ni January Makamba wala nini, ila ukiangalia serikali karibu zote duniani humu zina mtindo kama huu. Haijalishi kama ni za ki dictator au la, zote humipa upepo kwanza...Sio January Makamba tena
TPA kirefu chake ni nini?
Jibu hoja mkuu, majibu ya namna hiyo yanadhihirisha how empty your pumpkin is...Basi katafute nchi yako ya kuishi ambako watu hawali ubuyu
Anaembuliwa ni marehemu kwa kulinda watu wake na huu ni mwanzo tu.Safi sanaaaaa motooo ni uleule kutumbua majipu
RAIS HONGERA SANA.
Tukiwa katikati ya maombolezo mtu anaongezewa maombolezo. Bado Dotto James anatakiwa aondoke kabla mama hajapoa.
Kabisa mkuu, daraja la Ruvu linaitwa Ruvu, daraja la wami linaitwa Wami, Ubungo bus Terminal inaitwa hivyo, Msamvu ni msamvu Terminal.
Ukiangalia design wa hayo makitu hata hajafanya Mfugale, labda yeye ndiye financier hakuna.
Everyday is Saturday............................... 😎
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani Wewe umelala hapo kwenye sofa ya mume wa dada yako alafu unasema kawaida