Mwanahabari wa Taifa
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 1,588
- 956
Kazi nadhani inaendelea vizuri,kwanza watujibu ile mifuniko ndo imeshindikana kupachikwa mahala pake!!?,au hiyo mihela ndo yakuagiza huo mu winch wa kupachikia hiyo mifuniko!!?,
Tuwakumbushe tu,wasivimbiwe wajipimie!!
Nadharia tukwanza watujibu ile mifuniko ndo imeshindikana kupachikwa mahala pake!!?,au hiyo mihela ndo yakuagiza huo mu winch wa kupachikia hiyo mifuniko!!?,
Tuwakumbushe tu,wasivimbiwe wajipimie!!
Nchi ngumu sana hiiNadharia tu
Nchi ngumu sana hii
Naanza kusomaUjenzi wa bwawa la JNHPP pamoja na Usambazaji wa umeme vijijini Rais Samia ameongeza bajeti kwa 230% kutoka TZS 1.01T FY2020|21 hadi TZS 2.34T FY2021|22,
" Hakuna kama Samia "
Lengo la Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan ifikapo mwaka 2026 Tanzania iwe na umeme wa Uhakika unaofikia Jumla ya 5,000MW hapa anamaanisha tunakwenda kuwa electricity donor country hakika Watanzania kesho yetu ni bora sana kuliko leo,
===
Sote tunafahamu mahitaji ya Umeme Tanzania yanaongezeka siku hata siku kwa mfano mwaka 2020 mahitaji ya Umeme yalikuwa 1,151.66MW lakini hadi kufikia mwezi mei 2021 mahitaji ya Umeme yalifikia 1,183.28MW sawa na ongezeko la 3% kwa mwaka.
===
Lakini pia, kwa mwaka huku umeme wetu umetajwa kuwa ndio umeme wenye bei chee zaidi African ya Mashariki kwani tunauuza kwa $0.099/KWh,Kwahakika Tanzania ya Rais Samia ni raha natutegemee bei hii kushuka zaidi baada ya JNHPP kukamilika na kuanza kufanya kazi,
===
Faida ya mradi huu sio umeme tu hata utekelezaji wa Ilani ya CCM ya 2020|25 ya kuzalisha ajira 8M ifikapo 2025 kwani tayari mradi huu umeajiri Jumla ya wafanyakazi 7,243 wazawa wakiwa ni 6,452 na wageni ni 791,Mradi huu utakapokamilika unatarajiwa kuzalisha Jumla ya MW 2,115 kamwe tusiache kumwomba Mungu,
===
Mpaka Rais Samia Suluhu Hassan anaingia madarakani ni 38% tu ya fedha zote za mradi huu wa Tshs 6.55trilioni ndio zilikuwa zimelipwa kwa mkandarasi ambayo Jumla yake ni Tshs 2.495trilioni sawa na Pungufu ya Tshs 4.055trilioni,
===
Hii ni sawa na kusema Rais Samia Suluhu Hassan hadi mwisho wa mradi huu atakuwa ameujenga mradi kwa zaidi ya 62%,Hakika Mama huyu anastahili pongezi sana kwa kiwango hiki cha kizalendo kwa nchi yake,
===
Zikiwa zimesalia miezi kumi ( 10 ) tu kumalizika kwa mkataba huu Rais Samia Suluhu Hassan kupitia bajeti yake hii ya kwanza tayari ameshatenga 58% ya deni lote lililosalia kwani ametoa Tshs 2.34trilioni kwaajili ya usambazaji wa umeme na ukamilishaji wa mradi huu wa JNHPP,
===
Pesa hii ni sawa na pesa yote iliyotolewa tangu kuanza kwa mradi huu wa JNHPP, Unaweza kusema "Bajeti moja ya Rais Samia kwenye usambazaji wa umeme na ujenzi wa JNHPP ni sawa na bajeti zote zilizotolewa kujenga JNHPP tangu ianze Mei 2019 " Watanzania,Kama kuna mtu wa kuombewa kwa nguvu kubwa kwa sasa basi ni Rais Samia Suluhu Hassan.
|RAIS SAMIA SULUHU HASSAN YUKO BEGA KWA BEGA NA VIONGOZI WALIOMTANGULIA|
Tishapigwa hapo,Kila Rais wanamrebo kama bunsen burnerHivi hizo pesa ni samia anazitoa kwenye mkoba wake?
Ukitaja mwarabu nakumbuka Osama na mission iliyo shindwaIli kulifikia eneo lenyewe ,Arab Contractors tayari wamejenga 21km PERMANENT ROADS....kilomita 21 za kudumu.....
#SiempreJMT
Upo pamoja namiMtupumzishe jaman inamaana hayati hajafanya lolote katika mrad huu
Anyway sikujua id za kimkakati hizi mnaandika na kujijibu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Umember wako wenyewe ni wa mchongoSo elimu yako haitambui kuwa "Urais " ni taasisi?
Usimtazame Samia kama Samia tazama nani kawaweka kumsaidia
#KAZI IENDELEE KWA KASI &WELEDI ZAIDI
Gesi gani imebebwa na mabeberu?Naanza kusoma
a,e,i,o,u
Nakumbuka wakati gesi story zinaanza tuliambiwa itasababisha kuwa mzalishaji wa dawa za binadamu na mbolea mkubwa kwa Afrika nzima,leo hii tunaambiwa gesi ilishabebwa na mabeberu
Umember wa Mchongo hahahahaUmember wako wenyewe ni wa mchongo
Member since may 2021
Hahahaaaa
Mkuu tafuta pesa, Samia anafanya vizuri,Uzalendo huwa unagusia nyanja zote za nchi, ukiona hicho unachosema uzalendo unaegemea upande mmoja huo siyo bali ni kitu kingine kabisa hata sijui kinaitwaje!.
Unataka kusema nikiwa namzunguzia babu yangu tuu kwa mambo yote kuwa pasipo yeye was nothing, then unasahau kuwa pasipo baba yake na huyo babu unayemsifia also nothing was existed.
Huyo mzalendo anazungumzia raia wanaouliwa na polisi au polisi wanaouliwa na raia?.
๐๐พ Tufuatilie kwa pamoja.
Sahihi, itafutwe pesa kwanza kwa nguvuMkuu tafuta pesa, Samia anafanya vizuri,
Kero kwa CHADEMA?Unaanza kuwa kero, wewe ni wa kupiga tofari.
mkuu wapi siku hizi?Eee Mwenyezi Mungu tutunzie Rais wetu mh.Samia Suluhu Hassan aaamin aaaamin๐
#SiempreJMT
Sahihi sana,CM 1774858
Binafsi nikushukuru sana kuwafumbua macho hasa waliokata tamaa baada ya kifo cha Rais Magufuli ,
Samia anafanya vizuri sana ila kwa njia tofauti lazima wamuamini mama yuko vizuri sana na analeta matokeo kwa haraka sana,
Kwakasi ile ya 38% miaka miwili huenda tungekwama,
Huu mradi ulikuwa mgumu kuanza kule! Mtu kama Samia na the way anawaangalia wale mabepali asingeweza kuufanya! Ata angekuta ndo atafutwa mkandarasi asingeweza kuendeleanao.
Nyie CHAWA mna shida sana!!Sahihi sana,
๐๐๐Unaanza kuwa kero, wewe ni wa kupiga tofari.
Kwani wewe ni kunguni?Nyie CHAWA mna shida sana!!