Rais Samia Suluhu aongeza bajeti kwa asilimia 230 Ujenzi wa JN-HPP

kwanza watujibu ile mifuniko ndo imeshindikana kupachikwa mahala pake!!?,au hiyo mihela ndo yakuagiza huo mu winch wa kupachikia hiyo mifuniko!!?,

Tuwakumbushe tu,wasivimbiwe wajipimie!!
Nadharia tu
 
Naanza kusoma
a,e,i,o,u
Nakumbuka wakati gesi story zinaanza tuliambiwa itasababisha kuwa mzalishaji wa dawa za binadamu na mbolea mkubwa kwa Afrika nzima,leo hii tunaambiwa gesi ilishabebwa na mabeberu
 
So elimu yako haitambui kuwa "Urais " ni taasisi?

Usimtazame Samia kama Samia tazama nani kawaweka kumsaidia


#KAZI IENDELEE KWA KASI &WELEDI ZAIDI
Umember wako wenyewe ni wa mchongo
Member since may 2021
Hahahaaaa
 
Naanza kusoma
a,e,i,o,u
Nakumbuka wakati gesi story zinaanza tuliambiwa itasababisha kuwa mzalishaji wa dawa za binadamu na mbolea mkubwa kwa Afrika nzima,leo hii tunaambiwa gesi ilishabebwa na mabeberu
Gesi gani imebebwa na mabeberu?
 
Mkuu tafuta pesa, Samia anafanya vizuri,
 
Sahihi sana,
 
Huu mradi ulikuwa mgumu kuanza kule! Mtu kama Samia na the way anawaangalia wale mabepali asingeweza kuufanya! Ata angekuta ndo atafutwa mkandarasi asingeweza kuendeleanao.

Hata akiongeza she is not going to get value for the money kwasababu wameishajua kuwa hana weledi [ no close supervision of the project payments] hivyo watamuongopea na kuongeza gharama za mradi na bado hautakamilika vizuri!! Makamu wake anajua kinachoendelea lakini hasemi because somehow he is conflicted!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ