Rais Samia Suluhu aongeza bajeti kwa asilimia 230 Ujenzi wa JN-HPP

Nimekwambia mara nyingi wazalendo uchwara walikuwa wezi,pesa ni za bajeti kama kawa ila Kiongozi wa wazalendo anajua alikokuwa anapeleka fedha.

Ukiwachunguza wale wazalendo utaona jinsi walivyojitajirisha.
 
Upumbavu gani,uweke hapa.We Maskini usipojipendekeza utakula mchanga?
 
Kwa kukosa kwao akili na maarifa,wanazaliwa maskini wanakufa maskini bali huku wakijifariji Wana rasilimali tele,huu ni ujinga Sana .
 
Samia sio pesa zake na wala hana mamlaka ya kutoa pesa. Sema tulitawaliwa na punguani na mshamba akawa anaona kila kitu ni chake. Hii kauli ya Rais katoa Fedha sio nzuri kabisa. Pesa ni za umma sio zake.
 
Samia sio pesa zake na wala hana mamlaka ya kutoa pesa. Sema tulitawaliwa na punguani na mshamba akawa anaona kila kitu ni chake. Hii kauli ya Rais katoa Fedha sio nzuri kabisa. Pesa ni za umma sio zake.
Serikali ya Rais Samia imetoa pesa,unateseka ukiwa sehemu gani mkuu?
 
Wewe kwa kumsifia ni zaidi ya toilet paper
 
Hizo 230% uwa czielewi elewi zinatoka wapi!!! 2shazoea 1%-100%. Ccm mna2changanya aise
 
Acha bangi mkuu, anajenga mama samia au sisi wananchi? Hizi kodi jumlisha tozo unafikiri masihara?
 
Acha bangi mkuu, anajenga mama samia au sisi wananchi? Hizi kodi jumlisha tozo unafikiri masihara?
Mkuu Samia ni Chief budget advisor wa Taifa

Yeye ndio mwenye Ilani ya 2020|25

Yeye ndio mtamuhoji Oct 2025

Rais kabeba dhamana kubwa sana ya nchi
 
Sifaham profession yako wala level yako ya elimu, whatever your education and profession you'r, haijawahi kukusaidia kwa upande huu. Serikali ndio inatoa fedha, sio rais, ni SERIKALI ( google maana ya rais na maana ya serikali ujue).

Mnaposema Rais amefanya hiki, rais amefanya kile, mara wengine wanamshukuru rais eti kwa kujenga mf hospitali, huku ni ku - politicise shughuli za serikali, ni propaganda za kipumbavu sana.

There is time to come such rubish politics wont be there and some may be called to sentence.
 
Unazunguka....
Unazunguka kwa FALSAFA nyingi.....

Hoja ni moja tu....

Does the government delivers?!!!

Does the government cater for social services?!!!

Hoja ya kuwepo mapambio ama kutokuwepo haisaidii WALAJI......

Serikali ya awamu ya 6 imepokea TRILIONI 1.3 kutoka IMF kujenga vyuo 72 vya VETA na mengineyo.....

Tunasubiri UTASHI WA SERIKALI kuzitumia hizo fedha kulikokusudiwa......

Na Kama kuusifu utashi mzuri wa serikali kunakuudhi...Sawa....IT'S YOU mkuu .....

#SiempreSSH
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…