Rais Samia Suluhu ateua Wabunge wapya watatu na kuteua Baraza la Mawaziri

Huyu Mama Ana Kusudi Sana Nadhani Hataki Kufanya Kazi Na Mwalimu Wangu Bashiru, Kamteua Kuwa Mbunge Halafu Kamwacha Domant Tu.. Daaaah Dharau Hizi.
Akishaapa bungeni,, bashiru ally anakwenda kuwa waziri mambo ya nje
 
Hapo sawa ,baraza lazima livunjwe ,watu walikuwa wanatetea uvunjwaji wa katiba waziwazi.
limevunjwa wapi? hivi akili huwa mnaweka wapi?

kasema anafanya mabadiliko baada ya kumtoa mpango....

katiba ulivyoandikiwa na TLS na CDM ulidanganywa...kale malimau

Hao waliapa kwa rais kama taasisi na sio mtu, ebo!!!
 
Hili Baraza poyoyo kweli kweli. Nchemba na PhD ya kufanywa hana uwezo wala hadhi ya kuongoza Wizara nyeti ya fedha. JPM alimshughulikia vibaya sana Liberata Mulamula, lakini naona Samia amemfuta machozi.

Ninaamini Likwekile hasingefariki angemrudisha Wizara ya fedha. Kabudi akae chonjo, hiyo inaweza kuwa ndio njia ya kutokea, kurudi jalalani'?! Hata Jafo anaelekea mwisho wa enzi.

Bashiru ndio basi tena, ameambulia ubunge, balozi hawezi kuwa Mbunge. Tafsiri yake ni kuwa ubalozi umeyeyuka pamoja na ukatibu Mkuu kiongozi! Ummy bado yuko kazini. Hongera Rais Samia!
 
Huyu Mama Ana Kusudi Sana Nadhani Hataki Kufanya Kazi Na Mwalimu Wangu Bashiru, Kamteua Kuwa Mbunge Halafu Kamwacha Domant Tu.. Daaaah Dharau Hizi.
 
Ndio maana huwa wanasema sisi Watu weusi ni separate spicies
 
Kule alikoenda Bashiru alikuwa hata kweli ameshaweka mafaili yake (au ndio kuhamishwa hata kabla haujaamia)
 
Huyu Mama Ana Kusudi Sana Nadhani Hataki Kufanya Kazi Na Mwalimu Wangu Bashiru, Kamteua Kuwa Mbunge Halafu Kamwacha Domant Tu.. Daaaah Dharau Hizi.
Sio dharau ni maamuzi ya taasisi,hii ni nzuri sana ,cheo ni dhamana ukibadilishwa usilalamike,je mkulima aache kulima kwa sababu ya tabia nchi,ufikie hapo hata cheo kubaliana na lolote,leo hivi kesho vile.makofi tafadhali👏👏
 
Huyu Mama Ana Kusudi Sana Nadhani Hataki Kufanya Kazi Na Mwalimu Wangu Bashiru, Kamteua Kuwa Mbunge Halafu Kamwacha Domant Tu.. Daaaah Dharau Hizi.
Kwani angeweza kumpa uwaziri kabla hajaapa?
 
Lazima tukubali zama zimebadilika. Mama naye anao watu anaowaamini.
Tuache wafanye kazi.
Hizi dini sio rohoo..
 
Mwigulu ni mbobezi wa uchumi na mambo ya Fedha. Mimi nashangaa mnaosema hafit. That guy is so competent
Huyu huwa anaharibu sana akipewa wizara ya kupiga blah blah, ni msomi mzuri tu tumpe muda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…