kandamatope
JF-Expert Member
- May 19, 2018
- 589
- 628
Akishaapa bungeni,, bashiru ally anakwenda kuwa waziri mambo ya njeHuyu Mama Ana Kusudi Sana Nadhani Hataki Kufanya Kazi Na Mwalimu Wangu Bashiru, Kamteua Kuwa Mbunge Halafu Kamwacha Domant Tu.. Daaaah Dharau Hizi.
limevunjwa wapi? hivi akili huwa mnaweka wapi?Hapo sawa ,baraza lazima livunjwe ,watu walikuwa wanatetea uvunjwaji wa katiba waziwazi.
Hili Baraza poyoyo kweli kweli. Nchemba na PhD ya kufanywa hana uwezo wala hadhi ya kuongoza Wizara nyeti ya fedha. JPM alimshughulikia vibaya sana Liberata Mulamula, lakini naona Samia amemfuta machozi.ofisi ya Jafo
Uwekezaji imerudi chini ya ofisi ya waziri mkuu
Ummy mwalimu-tamisemi
Wizara ya fedha -mwigulu nchemba
Sheria- kabudi paramagamba
Mambo ya nje- balozi mulamula
michezo -naibu (gekulu) ulega amerudi mifugo
Afya- naibu wa pili Mwanaidi ally hamisi
Bashiru-mbunge wa kuteuliwa
Zingine zimebaki kama zilivyo.
Huyu Mama Ana Kusudi Sana Nadhani Hataki Kufanya Kazi Na Mwalimu Wangu Bashiru, Kamteua Kuwa Mbunge Halafu Kamwacha Domant Tu.. Daaaah Dharau Hizi.
Kwahyo yeye haeajui ww ndo unawajua zaidiMama ameanza vibaya, karudisha wahuni wale wale..
Bora Hayati angemuacha tu ukatibu mkuu.Huyu Mama Ana Kusudi Sana Nadhani Hataki Kufanya Kazi Na Mwalimu Wangu Bashiru, Kamteua Kuwa Mbunge Halafu Kamwacha Domant Tu.. Daaaah Dharau Hizi.
Anaandaliwa kufanya nini ?Na bashiru ni useful ndio mana kapelekwa bungeni Anaandaliwa
Sio dharau ni maamuzi ya taasisi,hii ni nzuri sana ,cheo ni dhamana ukibadilishwa usilalamike,je mkulima aache kulima kwa sababu ya tabia nchi,ufikie hapo hata cheo kubaliana na lolote,leo hivi kesho vile.makofi tafadhali👏👏Huyu Mama Ana Kusudi Sana Nadhani Hataki Kufanya Kazi Na Mwalimu Wangu Bashiru, Kamteua Kuwa Mbunge Halafu Kamwacha Domant Tu.. Daaaah Dharau Hizi.
Kwani angeweza kumpa uwaziri kabla hajaapa?Huyu Mama Ana Kusudi Sana Nadhani Hataki Kufanya Kazi Na Mwalimu Wangu Bashiru, Kamteua Kuwa Mbunge Halafu Kamwacha Domant Tu.. Daaaah Dharau Hizi.
Sio kwa kushuka kwa namna hio jamaniBashiru na polepole kisiasa ndio wameishia hapo, ni wabunge wasio na majimbo na 2025 kupata majimbo ni mbinde na kuendelea kuteuliwa ni mbinde pia. Hizo ni zawadi na ni mahesabu pia.
Tumpeni nafasi Mwigulu.
Ebu muulize ye alikuwa anatakaje?Amesha anza kuweka familia yake.. dunia haiishiwi vituko.View attachment 1739567
Huyu huwa anaharibu sana akipewa wizara ya kupiga blah blah, ni msomi mzuri tu tumpe muda.Mwigulu ni mbobezi wa uchumi na mambo ya Fedha. Mimi nashangaa mnaosema hafit. That guy is so competent
NAAAAM Mkuu, hili ndilo lile DOKEZODokezo la siri
Yani Mwigulu anajua kycheza na ma beat ya maboss tu na wanachotaka ona kina nape mpaka leo wapo wapo tuIle arrogance ni over confidence aliyonayo