Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Mzee wa nyungu season one to threeAisee maisha yako kasi mno wajameni, yani leo hii kawa kiraka hana wizara maalum [emoji848][emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wa nyungu season one to threeAisee maisha yako kasi mno wajameni, yani leo hii kawa kiraka hana wizara maalum [emoji848][emoji848]
Katolewa tamisemi kijanja 🤣🤣Jafo Jafo
Bashiru na polepole kisiasa ndio wameishia hapo, ni wabunge wasio na majimbo na 2025 kupata majimbo ni mbinde na kuendelea kuteuliwa ni mbinde pia. Hizo ni zawadi na ni mahesabu pia.Bashiru ni demotion kiboko .... ubunge viti maalum
Hivi mkuu, hapa Kuna mashindano ya kuwahisha habari??Wabunge wapya walioteuliwa kuwa wabunge ni pamoja na Aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi, Dkt. Bashiru Kakurwa Ali, Mbarouk Nassor Mbarouk na Liberata Mulamula.
Rais Samia Suluhu akiteua Baraza la Mawaziri amesema...
''Kuondoka kwa Mpango kumefanya nifanye mabadiliko kidogo kwenye Baraza la Mawaziri na nitatangaza hapahapa zege halilali''
Baadhi ya Wizara zimefanyiwa Mabadiliko na nyingine zimebaki kama zilivyokuwa.
Viti maalumBashiru?
Chadema wanasema Mwiguli ndo mtuhumiwa wa kwanza kwenye shambulizi la Lisu.CHADEMA povu Mwigulu kula shavu,kama namuona Lissu alivyonuna hehehe
Hapana mwigulu yupo vizuri sana kwenye uchumi namkumbuka kipindi cha kikwete akiwa na saada mkuya wizara ilikuwa vizuri.Aisee hapa naona mama kama kateleza Mwigulu wizara ya Fedha? mbona simuamini!
Povu laki litakuuwa.Kilichoonekana wazi ni kuwa Mh. Rais Mama Samia Suluhu Hassan hana uchaguzi mpana kwa wabunge wa sasa kwa ajili ya teuzi za mawaziri na manaibu mawaziri.
Hayati JPM alitupelekea watu wa hovyo kabisa bungeni.
aya bhana ni kweli CCM ni vilaza ila chama chako kinaongozwa na aliyefeli f6 kwa kupata ziro. wapi kuna vilaza zaidi?Amweke nani wakati CCM ni walewale tu vilaza tupu.
Sijui atasafiri Tena kwenda Paris🤣Kule mambo ya Nje Kabudi alikupenda sana
Ili povu vepeeeee?Kwakuwa wewe ni mpishi wa Mwigulu lazima ufurahie maana utakula makombo yaliyo noona
Waziri asiye na wizara maalum ofisi ya Waziri Mkuu.
Kwa wenye upeo wa juu wa kuelewa, tumeshajua nini kinaendelea juu ya bashiru, kutoka katibu mkuu kiongozi, na kuwa mbunge tu, ni suala la muda tuzingekuwa kweli asingepewa ubunge. uwe na akili
Huyu mwigulu atakua na jini anatembea nalo sio bureWabunge wapya walioteuliwa kuwa wabunge ni pamoja na Aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi, Dkt. Bashiru Kakurwa Ali, Mbarouk Nassor Mbarouk na Liberata Mulamula.
Rais Samia Suluhu akiteua Baraza la Mawaziri amesema...
''Kuondoka kwa Mpango kumefanya nifanye mabadiliko kidogo kwenye Baraza la Mawaziri na nitatangaza hapahapa zege halilali''
Baadhi ya Wizara zimefanyiwa Mabadiliko na nyingine zimebaki kama zilivyokuwa.
Ummy Mwalimu - Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI
Mohammed Mchengelwa - Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
Selemani Jafo - Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais
Geoffrey Mwambe - Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu - Uwekezaji
Mwigulu Nchemba - Waziri wa Fedha na Mipango
Profesa Palamagamba Kabudi, - Waziri Wizara ya Katiba na Sheria
Kipindi ninaajiunga humu nilifikiri wanaopost harakaharaka wanalipwa posho hivi...Hivi mkuu, hapa Kuna mashindano ya kuwahisha habari??
Kwani ungetulia ukasubiri amalize uandike habari kamili ungepoteza nini?