Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Ile arrogance ni over confidence aliyonayoMwigulu mbona hanaga shida ukiacha ka arrogance behavior yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile arrogance ni over confidence aliyonayoMwigulu mbona hanaga shida ukiacha ka arrogance behavior yake
Ila bashiru ana bahati mbaya hajatumikia hicho cheo hata miezi miwiliHuyu Mama Ana Kusudi Sana Nadhani Hataki Kufanya Kazi Na Mwalimu Wangu Bashiru, Kamteua Kuwa Mbunge Halafu Kamwacha Domant Tu.. Daaaah Dharau Hizi.
Kwishaaaa habari zao haoHizi team zitawaua. Utawala umebadilika mtapoteana.
Bora Bashiru ameondolewa kwenye hiyo ofisi, Katanga alikuwa katibu mkuu anaelewa mambo ya utumishiWabunge wapya walioteuliwa kuwa wabunge ni pamoja na Aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi, Dkt. Bashiru Kakurwa Ali, Mbarouk Nassor Mbarouk na Liberata Mulamula.
Rais Samia Suluhu akiteua Baraza la Mawaziri amesema...
''Kuondoka kwa Mpango kumefanya nifanye mabadiliko kidogo kwenye Baraza la Mawaziri na nitatangaza hapahapa zege halilali''
Baadhi ya Wizara zimefanyiwa Mabadiliko na nyingine zimebaki kama zilivyokuwa.
Quantify waislam wangapi na wakristo wangapi aidha wabara wangapi na wazenj wa ngapi?As heard
Dr. Bashiru wangemwacha kule kwenye chama Kama Katibu Mkuu kuliko kumsumbua sumbua mara huku, Mara kule.Bashiru ni demotion kiboko .... ubunge viti maalum
Amekwisha yeye,kama ataleta ubabe kama wa wakati wa JPM hamalizi mwaka.Wizara ya Fedha kapewa Mwigulu nchemba. Tumekwishaaa
DaaahhhWizara ya Fedha kapewa Mwigulu nchemba. Tumekwishaaa
Anaenda kupotea soon atarudi kutoa lecture,Na bashiru ni useful ndio mana kapelekwa bungeni Anaandaliwa
Waziri asiye na wizara maalum ofisi ya Waziri Mkuu.
Mwigulu amebobea kwenye uchumi, hapa SASA ndo atafit. KUMBUKA hata wakati Mh. Mpango anaumwa Mwigulu ndo alkua anamkaimu kule bungeniMwigulu tena?
Savimbi tena!!!!Wizara ya Fedha kapewa Mwigulu nchemba. Tumekwishaaa
old wine in a new vessel.Wabunge wapya walioteuliwa kuwa wabunge ni pamoja na Aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi, Dkt. Bashiru Kakurwa Ali, Mbarouk Nassor Mbarouk na Liberata Mulamula.
Rais Samia Suluhu akiteua Baraza la Mawaziri amesema...
''Kuondoka kwa Mpango kumefanya nifanye mabadiliko kidogo kwenye Baraza la Mawaziri na nitatangaza hapahapa zege halilali''
Baadhi ya Wizara zimefanyiwa Mabadiliko na nyingine zimebaki kama zilivyokuwa.
Sure huyu itakuwa katokaBashiru alicheza na sahihi ya mwendazake huyu
Mwigulu ndumba bado inafanya kazi
Kwakuwa wewe ni mpishi wa Mwigulu lazima ufurahie maana utakula makombo yaliyo noonaCHADEMA povu Mwigulu kula shavu,kama namuona Lissu alivyonuna hehehe
Pigo lingine kwa Sukuma Gang.Katibu mkuu kiongozi - Hussein yahya Katanga (balozi yupo japani)