Rais Samia Suluhu ateua Wabunge wapya watatu na kuteua Baraza la Mawaziri

C.V na uzoefu pamoja pia ubobezi wa Balozi Dr. Liberata Rutageruka Mulamula, ikilinganishwa na ya Prof. Palamagamba Kabudi tunawaachia wana great thinkers wa JamiiForums mjadili.
CV ya huyu mama ni nzuri kuwa waziri wa Mambo ya nje na ni mzoefu kuliko le profeseri wa mia kenda
 
Mwigulu ni mbobezi wa uchumi na mambo ya Fedha. Mimi nashangaa mnaosema hafit. That guy is so competent

Hata Dr Bilal naye alikuwa mtaalam wa makinikia,miamba,milipuko,nuclear lakini hakuna kipya tulichokiona kwake,tofautisha madesa na uhalisia ,mwigulu ni mtu wa madesa,hana experience ya kutosha kuwa waziri wa fedha,wengi waliokuwa kwenye hizo nafasi walikuwa picked kwenye taasisi kubwa za fedha ,wengi walikuwa IMF,WB etc.
 
limevunjwa wapi? hivi akili huwa mnaweka wapi?

kasema anafanya mabadiliko baada ya kumtoa mpango....

katiba ulivyoandikiwa na TLS na CDM ulidanganywa...kale malimau

Hao waliapa kwa rais kama taasisi na sio mtu, ebo!!!
Asipokuelewa, pls NITAGI 🙂 nimsomeshe zaidi 🙂
 
Aisee hapa naona mama kama kateleza Mwigulu wizara ya Fedha? mbona simuamini!
Mwigulu mm naamini hana tatizo saana,ila alibadilishwa tabia na mwenda zake.

Mwigulu ni mvumilivu,alichapa kazi wizara ya mifugo vizuri,ilikua likitokea tatizo tu kafika eneo la tukio.
Nyota yake iliwaka vzr kwa wananchi ,ila mwenda zake kwa hila zake za kuhofia kua yupo na timu ile iliomuita mshamba akamnyang'anya gari njiani kwa kumdhalilisha.
Lakini alivumilia na mwisho tumeona kamrudisha tena.

Nafikili kuna watu wanaChuki tu za ujana.
 
Kwani ulidhani atamteua Mbowe?
Umesahau kwamba Samia ni CCM wa kugalagala?
 
Balozi wa nini mkuu?? Sio ameteuliwa kua mbunge nadhani ni zile nafasi 10 alizonazo mh. SSH kama raisi.
Daah ila kutoka katibu kiongozi mpaka ubunge cheo sawa na babu tale 😂😂😂
tena mbunge asie na jimbo upo upo tu ...
Bashiru kapewa ubunge ili aendelee kuwa katibu mkuu wa ccm....
Mbunge ana pato la hadi 11m kwa mwezi, unadiriki vipi kumuita mtu kama huyu eti yupo yupo tu....

Wewe wa laki 7 kwa mwezi ndo utakuaje?
 
Huyu Mama Ana Kusudi Sana Nadhani Hataki Kufanya Kazi Na Mwalimu Wangu Bashiru, Kamteua Kuwa Mbunge Halafu Kamwacha Domant Tu.. Daaaah Dharau Hizi.
Hiyo kwa kizungu inaitwa Horizontal drop...!!
 
Duh,
Sasa Bashiru ubalozi wake nao umetenguliwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…