Rais Samia Suluhu ateua Wabunge wapya watatu na kuteua Baraza la Mawaziri

Rais Samia Suluhu ateua Wabunge wapya watatu na kuteua Baraza la Mawaziri

Ti ti ti Maisha ni haya,
Ti ti ti, Maisha ni haya,
Kunyosha viungo, vya kila namna,
Kifua na Mabega, mgongo na shingo.

Nampongeza rais wa JMT mheshimiwa SSH kwa kunyoosha viungo vya kila namna.

[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Kilichoonekana wazi ni kuwa Mh. Rais Mama Samia Suluhu Hassan hana uchaguzi mpana kwa wabunge wa sasa kwa ajili ya teuzi za mawaziri na manaibu mawaziri.
Hayati JPM alitupelekea watu wa hovyo kabisa bungeni.
 
Back
Top Bottom