NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Uyu ni waziri wa tweeter.Makamba Jr. wizara gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uyu ni waziri wa tweeter.Makamba Jr. wizara gani?
Aliyempendekeza Mwigulu kuwa Waziri wa Fedha ni Makamu wa Rais Mh Mpango, hujamsikia Rais akisema kamchagua Mh Mpango ili amshauri vizuri kuhusiana na mambo ya kifedha? Kwa hiyo bila shaka Mh mpango ndie aliyempendekeza Mwigulu N.Aisee hapa naona mama kama kateleza Mwigulu wizara ya Fedha? mbona simuamini!
Ndio umeandika nini sasa wewe bazazi?As heard
Mama ameanza vibaya, karudisha wahuni wale wale..
Noma Sana.Mama ameanza vibaya, karudisha wahuni wale wale..
Ameweka historiaBashiru ndio atakuwa Katibu Mkuu kiongozi aliyekaa kwa muda mfupi sana katika historia ya nchi yetu so far
Acha zaru braza yote maisha.Uyu ni waziri wa tweeter.
Kusikojulikana!Jafo kapelekwa wapi?🤔
Kapelekwa wapi mzee wa Jalalani?Kule mambo ya Nje Kabudi alikupenda sana
Ivi ashawah kupokea hata mshahara wa ukatibu?Bashiru ndio atakuwa Katibu Mkuu kiongozi aliyekaa kwa muda mfupi sana katika historia ya nchi yetu so far
Amerudi kwenye kazi yake ya useremala pale kisaraweJafo kapelekwa wapi?[emoji848]
Ofisi ya makamu wa RaisJafo kapelekwa wapi?🤔
Mwigulu wizara ya fedha? Hiiiiiiii
Wewe ndiyo uwe nazo, hapo katolewa kinamna tuzingekuwa kweli asingepewa ubunge. uwe na akili
Ameonja tuu ukatibu mkuu.noma Sana.Aliyekuwa KMK Bashiru Ali ateuliwa kuwa Mbunge