Haya ni mawazo ya u-team ni ya wale wa ushindani wa makundi makundi. Huko mm sipo boss.Ayo mabadiliko uliyosema wewe ni ya serikali.
Ila kwenye U-team bado wapo vilevile,team zote zipo na wachezaji wakiwa full ngwamba.
Mkuu kinachoongelewa hapo sio mshahara anaopokea bali ni cheo alichokua nacho/navyo na hiki alichonacho sasa. Hata asingepewa huo ubunge bado simfikii kwa ukwasi alionao.Bashiru kapewa ubunge ili aendelee kuwa katibu mkuu wa ccm....
Mbunge ana pato la hadi 11m kwa mwezi, unadiriki vipi kumuita mtu kama huyu eti yupo yupo tu....
Wewe wa laki 7 kwa mwezi ndo utakuaje?
Kwakuwa CCM ni ile ile hata anhepewa Malaila angegeuka kuwa shetani. Hakuna mwenye afadhali pale.Mwigulu wizara ya fedha? Hiiiiiiii
Eeenh bwana weee nawaza na alivyo mweupe hizo chale maalama kibaoMwigulu dawa ndio zimefanya kazi chale zimepigwa hadi sehemu nyeti
Huna uwezo hata kula na Mwenyekiti wa Shina tuu hapo Mtaani kwako!Mi nakula sahani moja na wakubwa zako.Tulia bwamdogo
Kaa kimya mtotoKwahyo yeye haeajui ww ndo unawajua zaidi
Hivi huyu naye anastahili marupurupu ya KMK mstaafu? Au sheria za kazi zinasema hapa? Alikuwa hata hajamaliza miezi ya probation!Mheshimiwa Mbunge Balozi Dr. Bashir (PhD) KMK Mstaafu.
Waziri asiye na wizara maalum ofisi ya Waziri Mkuu.
Hii wizara ya TAMISEMI ni kubwa mno, kwa ukubwa wake kuiongoza ni ngumu sana, inatakiwa igawanywe na kupunguziwa baadhi ya majukumu. Mfano, masuala ya Elimu yangeoelekwa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia na masuala ya Afya yangepelekwa Wizara ya Afya.Jafo ata kula bata sasa maana TAMISEMI inaonekana ni Mshipa mkubwaa kuutafuna nahisi ule ungemfaa mzee Aggrey Mwanri
Akasema mchechu ndio atachukua nafasi yake, vipi imekuwaje?Alisema kaka enu Bashiru atakuwa KMK atakayehudumu kwa muda mchache sana katika Historia ya nchi hii!
Kweli bwana kahudumu kwa 31 tu.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Ngoja akakutane na kamarade PolepoleHivi huyu naye anastahili marupurupu ya KMK mstaafu? Au sheria za kazi zinasema hapa? Alikuwa hata hajamaliza miezi ya probation!
Mimi naongelea Rais SamiaSi hutambui uchaguzi uliomfanya awe Makamu?
Naongelea rais kiboko ya waramba miguu maana hana mpango nao sijui mtaishi vipiSi hutambui uchaguzi uliomfanya awe Makamu?
Huyu Mama Ana Kusudi Sana Nadhani Hataki Kufanya Kazi Na Mwalimu Wangu Bashiru, Kamteua Kuwa Mbunge Halafu Kamwacha Domant Tu.. Daaaah Dharau Hizi.
Wabunge wapya walioteuliwa kuwa wabunge ni pamoja na Aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi, Dkt. Bashiru Kakurwa Ali, Mbarouk Nassor Mbarouk na Liberata Mulamula.
Rais Samia Suluhu akitangaza Baraza la Mawaziri amesema...
''Kuondoka kwa Mpango kumefanya nifanye mabadiliko kidogo kwenye Baraza la Mawaziri na nitatangaza hapahapa, zege halilali''
Baadhi ya Wizara zimefanyiwa Mabadiliko na nyingine zimebaki kama zilivyokuwa.
MAJINA YA MAWAZIRI WANAOUNDA BARAZA LA MAWAZIRI
Ummy Mwalimu - Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI
Mohammed Mchengelwa - Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
Selemani Jafo - Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais
Geoffrey Mwambe - Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu - Uwekezaji
Dkt. Mwigulu Nchemba - Waziri wa Fedha na Mipango
Profesa Palamagamba Kabudi - Waziri Wizara ya Katiba na Sheria
Balozi Liberata Mulamula - Waziri wa Mambo ya Nje
Prof Kitila Mkumbo - Waziri wa Viwanda na Biashara
sawa mke mdogo wa bashiru ally, tumekusikia.Serikali haifanyi kazi kwa mtindo uliouelezea hapo.
Huyu mwigulu atakua na jini anatembea nalo sio bure
Siasa we acha tu, kutoka Ikulu mpaka hapo alipofikia.nimecheka sana pamoja na kibajaj