Rais Samia Suluhu ateua Wabunge wapya watatu na kuteua Baraza la Mawaziri

Aisee mama Samia unanifurahisha sanaa...yaan hakikisha unapita mule mule alikopita mwamba.

Yaaan nimekupenda sana mama

Najua chadema watakua na uhuru wa maon kipind hiki ila hakikisha hawakup headache...maana miluzi mingi humpoteza mbwa...

Kwanza ..subir...achana nao kabisa..na ikiwezekana wabane vile vile ili uongoze kwa amani...maana hao ni wajuaj hawaelew wanataka nin...enz ya mzee wa msoga walipiga kelele ooh tunataka jembe.likaja jembe ooh jembe kali sana

Haya juz ukaingia wakapiga sana makofi..toka waamwone mzee wa mipango wamebadili upepo..

Maria sarung na wenzio vima zinangago pichu....ma yule shangaz msimpe muhuri ngooo

Na ndege tunduni asirud tena

Hapa nasubir live talk ya ndege tundun na plo lumumba sjui inaanza saa ngap

Uzi tayar..ts already weekend beibi
 
Inasikitisha sana Mkuu. Baada ya madudu yao ya miaka mitano wengi tulitegemea wabadili mwelekeo lakini hawa wahuni hawataki kuelewa.
Hicho ni kikundi Cha waporaji rasilimali hata hivyo now kidogo watajishtukia baada ya jamaa Yao aliye boronga kufariki akiwa madarakani so watakuwa wana ng'ata na kupuliza
 
Reactions: BAK
Yaani hapa niko HOVES sana!
 
Huyu ni mwanasiasa mwenye visasi
Soon tutavuka uchumi wa kati na kwenda wa juu
 

Huku ni kujipa moyo, kujipagawisha, au ni ile kitu ya afande selemani anapenda?

Mama anapita mule mule kwa jiwe?

Are you serious?

Ndiyo maana Bashiri kawa shortest serving CS? Ndiyo maana yale mavitu ya TPA? Ndiyo maana yale mauchunguzi ya BOT?

Ebooo! Ndimo humo unayemwita mwamba alikuwa anapita?

Hiiiiii bagosha!
 
Unaogopa nini kusema hapa JF " HATUOGOPI KUSEMA UKWELI MRADI SIYO MAJUNGU"! Kila mmoja wetu amepokea uteuzi wa CABINET kivyake vyake. Mimi kwa mfano naona Prof. Mkenda angefaa Wizara ya fedha badala ya Mwigullu kwasababu Wizara ile ina hitaji mtu aliyetulia na mwenye busara na hekima na sio vurugu!! Ndugulile pia naona angefaa zaidi kwenye taaluma yake ya AFYA kuliko huko aliko sasa.
 
Tunajua toka jana uteuzi wa PM,na leo waziri wa fedha,Wapinzani wamepoteana kabisa.
 

Resilience is a good weapon in life if at all you have to succeed! Ukikata tamaa umekwisha!!!
 
Nilivyosomaga huu uzi wako, hapo hapo nikaanza kukutoa akili
 
Wenye wivu kesheni mkiomba.

Hata wakitolewa utateuliwa wewe au mmeo?
 
Kama namuona bwana yulee kule Ubelgiji akifyonya hehehe,usiyomtaka anagonga mlango.
 
Mmeo yuko wapi?
Unapata wapi muda wa kupoteza kuandika pumba km hizi.
Buku 7 bado ipoo?
 
Mkuchika kama mkuchika..Mido kisheti kila mfumo wa kocha unamkubali..iwe 343,442,4231 mzee yupo,, Maestro muite captain G.mkuchika Xavi Hernandez wa siasa za kibongo, Yani bora kipa asicheze ila mzee awepo ndani ya ulingo..Hivi anasiri gani hiyo? Ambayo hatakiwi kuwepo nje ya uwanja hata kwa sub tu..Yaani bora wamuweke hata kwenye muwizara usio na kazi..ili mradi tu Mvx wake uwe na plate number inayoanzia na W
 
Ameondoka na gia namba 4
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…