MBEGU YA BINADAMU
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 375
- 317
Una uwezo mdogo sana wa kufumbua mafumbo mepesiHata sijamuelewa...ana andika kama vile anajiambia mwenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uwezo mdogo sana wa kufumbua mafumbo mepesiHata sijamuelewa...ana andika kama vile anajiambia mwenyewe.
Kheri yako wewe mwenye uwezo mkubwa.Una uwezo mdogo sana wa kufumbua mafumbo mepesi
CCM wengi wanaelewa, shida ni baadhi ya watu wa upinzani waliotaka kujipendekeza, hapi zamani nilikuwa naona hadi wana CDM wamekomaa kusema "Tuna Imani na wewe mama...Ooh mama hawezi kutuangusha...Ooooh Sasa team msoga zamu yao[emoji28]"Makundi ya ccm hayamuelewi mama mpaka muda huu [emoji16][emoji16]
Sema baadhi ya watanzania.Lkn hizo salamu alizipata na kama ni muungwana lazima ajiulize kitu gani kinamfanya achukiwe na watanzania
Kwa ninavyo mfahamu jamaa ni katili sana.Mbona hamumpendi? Ana shida gani?
Aisee kwakuwa tuko na dereva mwingine, mi nadhani tumpe mda labda ataenenda vyema.Kwa ninavyo mfahamu jamaa ni katili sana.
Sasa hivi mitandaoni wanatukana matusi tu
Hautupendi wewe hahahahaUteuzi wa Nchemba personal he is not ideal candidate, kwa mambo ya nje kumtoa Prof pale ni vizuri zaidi
OR-TAMISEMI mama angemteua Dkt.Gwajima .D . Angeenda kuwachezesha mchaka mchaka
Salimia Mama watoto zako ndugu yangu.naelewaaa ndugu , kikubwa uhai
Msikie na huyo chakubimbi,hujui kuwa Bashiru ndiyo aliandaliwa abakie karibu na mkulu ili amshawishi muendeleze utawala wenu wa kibashitePoleni,Eti Wizara apewe Kimei,wapiii. Naona roho zinawauma hatari. Kina Biteko wanapeta tu.
Hii ni lugha gani julaibibi ? Sevlction wantotot? 🤔 Kama ni typig error, edit basi.yule dada wa znz aliyekuwa anakwama kuapa siku ile kaletwa sevlction ya wantotot
Sent using Jamii Forums mobile app