NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Ngano unaweza tengeza mkate,chapati,maandazi lakini ngano ni ileile,unachobadili ni aina ya matumizi ya ngano.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khaaa!Ndugu zangu habarini za wakati huu...naona unabii unaenda kutimia kwa taifa hili tena utatimia kwa speed kubwa mno..Watumishi wa Mungu kila mtu kwa imani yake ametaka wazi tuliombee taifa lisije likaingia kwenye machafuko .kwa uteuzi huu wa Leo TUZIDI KUIOMBEA IKURU ,.ila next tunaomba wasitufiche kinacho endelea ikulu ili tuombe sana.
Aiseee[emoji848]sasa wapinzani wanaingiaje hapa?Tunajua toka jana uteuzi wa PM,na leo waziri wa fedha,Wapinzani wamepoteana kabisa.
Fu.ck you too babyF*#*ck U
mkuu tuna makabila mangapi nchi hii, ukisema tubalance makabila kwenye baraza la mawaziri unadhani hilo baraza hilo litakuwa kubwa kiasi gani? Au unadhani wachaga sio watanzania wa kawaida wanastahili kuchukuliwa kwa upekee kuliko makabila mengine? halafu unaweza kukuta wewe pia ni kiongozi au unandoto ya kuwania uongozi ! ACHA UKABILA
Na mimi nilitegemea wabadili mwelekeo kweli! Yaani waziri wa fedha wampe Mr. Mbowe, mambo ya nje Mr. Lissu - waziri mdogo Lema (wanapenda kukaa nje)Inasikitisha sana Mkuu. Baada ya madudu yao ya miaka mitano wengi tulitegemea wabadili mwelekeo lakini hawa wahuni hawataki kuelewa.
Na mimi nilitegemea wabadili mwelekeo kweli! Yaani waziri wa fedha wampe Mr. Mbowe, mambo ya nje Mr. Lissu - waziri mdogo Lema (wanapenda kukaa nje)
gari imeruka wallahAmeondoka na gia namba 4
Huyu jamaa anayeitwa Kigogo2014 kala mweleka wa hatari!Vipi mchechu hajawa KMK??
View attachment 1739624
Walikuibia nini ,Nile tofauti kati ya kuiba na kuporaNasikia wachaga ni wezi,
Wewe ni mama Samia??Atakusaidia nini?
Kwenye usimamizi fezaMchaga wa nini boss?
Na mimi nilitegemea wabadili mwelekeo kweli! Yaani waziri wa fedha wampe Mr. Mbowe, mambo ya nje Mr. Lissu - waziri mdogo Lema (wanapenda kukaa nje)
Ndugu zangu habarini za wakati huu...naona unabii unaenda kutimia kwa taifa hili tena utatimia kwa speed kubwa mno..Watumishi wa Mungu kila mtu kwa imani yake ametaka wazi tuliombee taifa lisije likaingia kwenye machafuko .kwa uteuzi huu wa Leo TUZIDI KUIOMBEA IKURU ,.ila next tunaomba wasitufiche kinacho endelea ikulu ili tuombe sana.