Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Halafu akapwaya!! Au pakampelepeta!!!Kule mambo ya Nje Kabudi alikupenda sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu akapwaya!! Au pakampelepeta!!!Kule mambo ya Nje Kabudi alikupenda sana
Usidhani kila jino bovu hung'olewa Mkuu mengine huachwa yavunjike yenyewe "ndio akili" jino jingine ukitumia maguvu linakuchomoa nafsi... kutoka Katibu Kiongozi hadi..... aaaah tusitaniane hivi kwani waziri na katibu kiongozi nani ni...Zingekuwa kweli asingepewa ubunge. Uwe na akili
from dar to france series imekua cancelled baada ya episode moja tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kule mambo ya Nje Kabudi alikupenda sana
Hahaha acha tu mkuu..!!!Baraza jipya? Wenzetu huwa mna ubongo kweli?
Amefanya mabadiliko kidogo, Ila Baraza ni lile lile
Kule mambo ya Nje Kabudi alikupenda sana
Chini ya mwezi mmoja atakuwa anawaza bora hayati asingemchaguakuimba kupokezana
Labda anaandaliwa post nyingine
Mwigulu hiyo nafasi inamfaa sana, ingawa mimi si shabiki wake, kazi iliyopo kwa siku 100 za kwanza ni kurejesha pesa iliyokwapuliwa na iliyofichwa na watu wasio waaminifu, Mpango anampa Mwigulu majina ya hao wezi na Mwigulu anairejesha hiyo fedha, ni mzuri sana akielekezwa nini cha kufanya anafanya kwa ufanisi sana tatizo ni yeye kufanya maamuzi kama yeye! Atasafisha uozo pale Fedha kila mtu atafurahi. Mpeni muda kidogo muone!
Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app