Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Je yupo katika sekta gani? kwa sasa....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unaongea vityu usivyovijua tyulia kbsaMlipeleka ma miradi kibao chato bila kuzingatia bajeti huku mkitegemea kuchepusha hela za maeneo mengine ili ziende kwenye iyo miradi yenu.
Leo mmetoka madarakani mnalalamika hakuna fedha kumbe fedha zilikuwa zinaenda Kwa sababu ya udhalimu wenu!
Hakuna mradi uliopangiwa fedha kwenye bajeti ya serikali na ukakosa fedha!
Nyie tulieni tu
Nitulieje?Wewe unaongea vityu usivyovijua tyulia kbsa
Ditto tutampa wizara mpya atakuwa TOZOMASTERKabsa yaani me naona tatzo sio paymaster tatzo ni uongozi alionao uongozi ukiwa mzr piah yeye anakuwa vzr kwa hiyo usimhukum aliechini wakt wa juu umemwacha
Kwani Mtwara kuna Tatizo la hela kutotolewa?
Huna hoja wala sera, mtu ashakufa, bado anawatesa, mbona chato kulikuwa kunaendelezwa sambamba na kwengineko, mzee tupo Miradini na tunajionea, vitu vingine mfunge mibakuli yenu, mjifunze, hamjui kila kitu mbwiga nyinyiMlipeleka ma miradi kibao chato bila kuzingatia bajeti huku mkitegemea kuchepusha hela za maeneo mengine ili ziende kwenye iyo miradi yenu.
Leo mmetoka madarakani mnalalamika hakuna fedha kumbe fedha zilikuwa zinaenda Kwa sababu ya udhalimu wenu!
Hakuna mradi uliopangiwa fedha kwenye bajeti ya serikali na ukakosa fedha!
Nyie tulieni tu
Anadandia hoja ya shaka,Shaka alisema pesa imetolewa lakini mradi haukamiliki..Mlipeleka ma miradi kibao chato bila kuzingatia bajeti huku mkitegemea kuchepusha hela za maeneo mengine ili ziende kwenye iyo miradi yenu.
Leo mmetoka madarakani mnalalamika hakuna fedha kumbe fedha zilikuwa zinaenda Kwa sababu ya udhalimu wenu!
Hakuna mradi uliopangiwa fedha kwenye bajeti ya serikali na ukakosa fedha!
Nyie tulieni tu