The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Matokeo gani? Wizi wa matrillion na rambirambi 😬😬😬😆😆😆matokeo yake si uliyaona??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matokeo gani? Wizi wa matrillion na rambirambi 😬😬😬😆😆😆matokeo yake si uliyaona??
Ohoooo .anajichubua
Hicho ni kikundi Cha waporaji rasilimali hata hivyo now kidogo watajishtukia baada ya jamaa Yao aliye boronga kufariki akiwa madarakani so watakuwa wana ng'ata na kupulizaInasikitisha sana Mkuu. Baada ya madudu yao ya miaka mitano wengi tulitegemea wabadili mwelekeo lakini hawa wahuni hawataki kuelewa.
Yaani hapa niko HOVES sana!Sina yakuandika mengi ila kwakweli si kwakumpa miskafu ya bendera machenchi yetu dahhhh...
Naona mchana hakuna maana kulipo pambazuka tulifurahi mara ghafla kiza usiku umeingia....
Haya Mama kila la heri kama ni maamuzi yako mwenyewe🚶🚶🚶🚶
Aisee mama Samia unanifurahisha sanaa...yaan hakikisha unapita mule mule alikopita mwamba.
Yaaan nimekupenda sana mama
Najua chadema watakua na uhuru wa maon kipind hiki ila hakikisha hawakup headache...maana miluzi mingi humpoteza mbwa...
Kwanza ..subir...achana nao kabisa..na ikiwezekana wabane vile vile ili uongoze kwa amani...maana hao ni wajuaj hawaelew wanataka nin...enz ya mzee wa msoga walipiga kelele ooh tunataka jembe.likaja jembe ooh jembe kali sana
Haya juz ukaingia wakapiga sana makofi..toka waamwone mzee wa mipango wamebadili upepo..
Maria sarung na wenzio vima zinangago pichu....ma yule shangaz msimpe muhuri ngooo
Na ndege tunduni asirud tena
Hapa nasubir live talk ya ndege tundun na plo lumumba sjui inaanza saa ngap
Uzi tayar..ts already weekend beibi
Waziri asiye na wizara maalum, hivyo naye anapewa bajeti na insomwa bungeni?🤔Waziri asiye na wizara maalum ofisi ya Waziri Mkuu.
,😂😂😂Yaani hapa niko HOVES sana!
Bila kuanza na porojo nyingi ngoja nijiingize kwenye mada.
Kwa siku chache zilizopita nafikiri mh. rais alianza vizuri lakini sasa naanza kupata mashaka kutokana na mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri.
Nilipigwa na butwaa hususan kumuweka mtu fulani (jina simtaji) kwenye wizara moja muhimu sana. Yaani katika watu wote amechaguliwa huyu!
Ingawa ni mapema lakini najiona nimeshaanza kukata tamaa.
Wenye wivu kesheni mkiomba.Bila kuanza na porojo nyingi ngoja nijiingize kwenye mada.
Kwa siku chache zilizopita nafikiri mh. rais alianza vizuri lakini sasa naanza kupata mashaka kutokana na mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri.
Nilipigwa na butwaa hususan kumuweka mtu fulani (jina simtaji) kwenye wizara moja muhimu sana. Yaani katika watu wote amechaguliwa huyu!
Ingawa ni mapema lakini najiona nimeshaanza kukata tamaa.
Mmeo yuko wapi?Aisee mama Samia unanifurahisha sanaa...yaan hakikisha unapita mule mule alikopita mwamba.
Yaaan nimekupenda sana mama
Najua chadema watakua na uhuru wa maon kipind hiki ila hakikisha hawakup headache...maana miluzi mingi humpoteza mbwa...
Kwanza ..subir...achana nao kabisa..na ikiwezekana wabane vile vile ili uongoze kwa amani...maana hao ni wajuaj hawaelew wanataka nin...enz ya mzee wa msoga walipiga kelele ooh tunataka jembe.likaja jembe ooh jembe kali sana
Haya juz ukaingia wakapiga sana makofi..toka waamwone mzee wa mipango wamebadili upepo..
Maria sarung na wenzio vima zinangago pichu....ma yule shangaz msimpe muhuri ngooo
Na ndege tunduni asirud tena
Hapa nasubir live talk ya ndege tundun na plo lumumba sjui inaanza saa ngap
Uzi tayar..ts already weekend beibi
Sina yakuandika mengi ila kwakweli si kwakumpa miskafu ya bendera machenchi yetu dahhhh...
Naona mchana hakuna maana kulipo pambazuka tulifurahi mara ghafla kiza usiku umeingia....
Haya Mama kila la heri kama ni maamuzi yako mwenyewe[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]