Natena wiza
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 428
- 676
Sasa umeamua nini baada ya hiyo taarifa? Utaendelea kujipendekeza CCM kwa kuimba ule wimbo wenu "tuna muamini mama yetu[emoji28]".Au urudi kwenye default settings zako (kupitia upatu sana UFIPA)?Amweke nani wakati CCM ni walewale tu vilaza tupu.