SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Huyu anashikiwa akili na mkewe.Vp Willbroad Slaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu anashikiwa akili na mkewe.Vp Willbroad Slaa
Serikali haifanyi kazi kwa mtindo uliouelezea hapo.issue ya bashiru kuondolewa ktk nafasi ya ukatibu mkuu, naweza sema kwa asilimia kubwa imechangiwa na kelele za bwana fulani wa twitter.
kwa wiki mbili mfululizo, ilikuwa hayapiti masaa bila ku tweet namna ambavyo bashiru ameshiriki kukwapua mabilioni ya fedha toka bank kuu.
niwashauri mataga msiwe mna underestimate information huyo mtu. sio kila anacho tweet ni uzushi.
Bado anasugua benchi followers wa twita wanamtoshaMakamba Jr. wizara gani?
Mwigulu dawa ndio zimefanya kazi chale zimepigwa hadi sehemu nyetiWizara ya Fedha kapewa Mwigulu nchemba. Tumekwishaaa
Anaenda kushirikiana na Katibu wa Wizara ya Fedha Dotto Jameshii bigest mistake mama mtoe mwigulu hapo anatafuta urais huyo watu wa TISS mshaurini mama mwigulu atamgalimu
nimecheka sana pamoja na kibajajBashiru anaenda kubishana na Msukuma Bungeni.
Mwajiri kawa mwajiriwa,ni bora angemuwahi mama amrudishe chamaniBashiru?
😇😍🤗😅😆😗😘😎😋😊😉Huyu anashikiwa akili na mkewe.
Kule ndio alikopatia chance ya kula vya watu huko France .Kule mambo ya Nje Kabudi alikupenda sana
Ayo mabadiliko uliyosema wewe ni ya serikali.Tuko awamu ya sita. Raisi ni tofauti na KM ni tofauti. Huoni mabadiliko hapo ww?
yani watamsumbua sana mama na atakuja kumchallenge kwenye urais hata amini mwigulu ni snakeAnaenda kushirikiana na Katibu wa Wizara ya Fedha Dotto James
Mageuzi yapi hayo? ebu tuvunjie mkuuHuyu ni mtendaji mzuri sana, aliwahi kuwa RAS Singida halafu akaja kuwa Katibu Mkuu MAHAKAMA; alikosimamia mageuzi makubwa!
Vumilieni tu dawa iwaingie fresh,goma lenu hilo mafisiem,sisi tupo tunawacheka tu kwa dharau,popoaneni tu.Mbona hata haeleweki huyu mama
Mama ameanza vibaya, karudisha wahuni wale wale..
Dhambi ingetoka wapi apo,wakati angeshinda Lowasa ambae ni CCM pure?Kwa hiyo unakiri kuwa 2015 CCM mliangukia pua. Dhambi ni dhambi tu aliiba kura wacha asote ajue kuwa nyuki hakumbatiwi kamwe.
BurundiJafo kapelekwa wapi?[emoji848]