Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Mwigulu yupi huyo unamzungumzia?Mwigulu ni mbobezi wa uchumi na mambo ya Fedha. Mimi nashangaa mnaosema hafit. That guy is so competent
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwigulu yupi huyo unamzungumzia?Mwigulu ni mbobezi wa uchumi na mambo ya Fedha. Mimi nashangaa mnaosema hafit. That guy is so competent
Ukiona unasumbuliwa sumbuliwa ujue bado muda kidogo unatupiwa viragoDr. Bashiru wangemwacha kule kwenye chama Kama Katibu Mkuu kuliko kumsumbua sumbua mara huku, Mara kule.
Pamoja sana kiongoziAmekwisha yeye,kama ataleta ubabe kama wa wakati wa JPM hamalizi mwaka.
Social media zitamuondoa!!!
Hakuna kusifia hapo!!
Mama mjanja sana kaamua amtoe kwa akili ili angalau apate kifuta jasho
Kwani miti shamba siyo sayansi, mtasubiri sana chanjoWizara ya afya iliihitaji sana mabadiliko awekwe mtu ambaye angalau anaamini juu ya sayansi ila ndio hivyo tena.
mkuu umetumia lugha kali sana, siku hiz hao nao wanaitwa wajasiliamaliMwalimu wako mwizi,sijui wewe kama upo salama!
Wana endelea kukalia zege...... makamba vipi timu Twitter
Bhange mbaya sana.Nakupongeza Dr, L. M. Mchemba kwa kuteuliwa kuwa Waziri wa Fedha.
Naamini elimu na weledi wako sasa utaulekeza katika fani ulio bobea.
Mungu akujalìe hekima na uadilifu wa maamuzi yako katika nafasi hiyo.
Ila nilivyomsikiliza na ninavyohisi ameona aibu kufanya mabadiliko makubwa na kuacha wengine (japo siyo dalili nzuri). Anaona kama akibadilisha na kuacha wengi ataeleweka vibaya. Akizoea hicho kiti anaweza kuja kufanya mabadiliko makubwa, may be. Ila kwa kumuweka Mwingulu fedha amechemka sana. Yule jamaa ni ''fix'' mmoja anayeishi kwa ujanja ujanja tu kama Kigwangala. sehmu ambayo amaepatia ni kumwondoa Kabudi wizara ya mambo ya nje. Na kwa Bashiru naona kuna kitu la sivyo asingebadilishwa ukitilia maanani kateuliwa juzi juzi tu.Huyu kashajiharibia mwenyewe kabla hata kazi haijaanza.
Mwigulu hawezi kuwa na msaada wowote kwake ni heri angetafuta mtu nje ya bunge kama hakukuwa na mtu mwingine mwenye sifa za kushika hiyo ofisi.
Mkuu mara ya 9+ leo unaandika kuchukizwa na uteuzi wa Mh. Mwigulu....hebu mpe nafasi kidogo tuone utendaji wake!yani watamsumbua sana mama na atakuja kumchallenge kwenye urais hata amini mwigulu ni snake
jazia jazia , tupate ulichomanisha kwa undani
Shule ya msingi MuunganoTi ti ti Maisha ni haya,
Ti ti ti, Maisha ni haya,
Kunyosha viungo, vya kila namna,
Kifua na Mabega, mgongo na shingo.
Nampongeza rais wa JMT mheshimiwa SSH kwa kunyoosha viungo vya kila namna.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]