Rais Samia Suluhu ateua Wabunge wapya watatu na kuteua Baraza la Mawaziri

Rais Samia Suluhu ateua Wabunge wapya watatu na kuteua Baraza la Mawaziri

PALE MAMA KASHAURIWA VIBAYA. YOU NEED A SOBER PERSON KAMA PROF. MKENDA. MWIGULLU HAWEZI KUENDANA NA HAO WANAOITWA WAHISANI!! HE IS CRUDE WITH NO ETIQUETTE . ANGEFAA PENGINE KWENYE WIZARA YA UTAMADUNI LAKINI SIO FEDHA!!!

..Nilitegemea wangemuondoa Naibu Waziri ambaye ameonyesha kuwa na uwezo mdogo.

..combination ya waziri na naibu waziri ktk wizara ya fedha kwa kweli inatia mashaka makubwa.
 
Kwahiyo unataka kusema huyu Dr.gwajima sio mtu sahihi kwahyo secta aliyo somea na kihudumu muda mrefu
Naam. Kwa sababu pale haendi kutibu watu bali kusimamia wizara ifanye kazi kwa weledi na si kuaminisha watu vitu ambavyo havina ithibati ya kisayansi. Yeye pamoja na naibu wake.
 
Sina yakuandika mengi ila kwakweli si kwakumpa miskafu ya bendera machenchi yetu dahhhh...

Naona mchana hakuna maana kulipo pambazuka tulifurahi mara ghafla kiza usiku umeingia....

Haya Mama kila la heri kama ni maamuzi yako mwenyewe🚶🚶🚶🚶

Cjui mfanyiwe nini ili mridhike, binadam hawezi kuyafanya yote unayotaka wewe,
 
PEGE, KFC
..Nilitegemea wangemuondoa Naibu Waziri ambaye ameonyesha kuwa na uwezo mdogo.

..combination ya waziri na naibu waziri ktk wizara ya fedha kwa kweli inatia mashaka makubwa.
 
jazia jazia , tupate ulichomanisha kwa undani
Mwigulu hakustahili kukabidhiwa hazina ya taifa,ni janga.

Nyongeza: TAMISEMI nako sasa ni mwendo wa kula bata. Ummy Mel siriaz!!
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Baraza la mawaziri sijalielewa japo Mwigulu sijamuelewa kabisa nilifikiria angepelekwa kwenye nafasi za chama kejeli zake zingemfaaaa zaidi. Unsettled person
 
Mkwere nae kisha choka hana nguvu tena sasa anajaribu kumuongezea mwanae ili akiondoka amuache mahala pazuri kisiasa!!!
Ndiyo hivyo lkn huwezi kumlinganisha na mzaramo
 
Back
Top Bottom