johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Vituo vya kazi hupangwa baada ya uteuzi!Mbona taarifa haisemi kuwa wameteuliwa kuwa mabalozi wa nchi gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vituo vya kazi hupangwa baada ya uteuzi!Mbona taarifa haisemi kuwa wameteuliwa kuwa mabalozi wa nchi gani?
Wewe pia mbona hujakumbukwa mkuu, naomba tushirikiane tujiteue mkuu mama kwa nini anaangalia sehem moja , tafadhali tuanze project mkuuJamani Lisu hata hajakumbukwa ubalozi wa ubelgiji?
Mkuu mimi sitegemei siasa kuishiWewe pia mbona hujakumbukwa mkuu, naomba tushirikiane tujiteue mkuu mama kwa nini anaangalia sehem moja , tafadhali tuanze project mkuu
Nyie mataga mtakumbukwa lini?Kwani ulitakaje?
Wengi kwenye hiyo list ni wahaya mmmmm au sababu waziri Wa mambo ya nje ni muhaya?
Anyway kanza yuko vizuri mno ila Ee Mungu mrehemu mtoto alikuwa vizuri kiakili kiafya na kila eneo yeyote aliyehusika kumharibia afya yake mtoto Wa watu Mungu anamuona .Na alaaniwe yeye na kizazi chake mbwa mkubwa
Mkono wa mkwere uko wazi kabisa!!Msoga gang siyo?
Katolewa kwenye equation ya succession plan za CDFChief of Staff "ametumbuliwa"
Naona kuna remote inaongoza nchi toka Msoga.
Ili iweje?Nyie mataga mtakumbukwa lini?
Ulikuwa hujui? Mzee wa Msoga yupo kazini ujueNaona kuna remote inaongoza nchi toka Msoga.
Masikini mna tabu,kujitutumuaKivipi mkuu? Mbona waheshimiwa wengi tu walikuwa walalahoi?
Huyu ndani mkuu?Chief of Staff "ametumbuliwa"
Ili roho zenu zitulie.Ili iweje?
Sukuma gang wewe huna jipyaHmm…really??
I don’t think she’s as smart as you think she is.
You get my point! Huwezi kutoka kuwa Miss tanzania ukawa Balozi . Yeye anatakiwa aende huklo huko kweny umiss... Hivi ni University graduate? Form six inatosha anyway! Kizungu anakijua ama ni kama Jiwe?as a public servants
Hukuelewa nilichomaanisha either kwa sababu kikoloni hukielewi vyema au una uwezo mdogo sana wa kudadavua mambo.Waganga Njaa mpo wengi mjin hapa,
Bado wewe mkuu nadhani next teuzi unaweza fikiriwa😂Kazi iendelee....maisha yanaenda kasi 3 classmates kwenye huu uteuzi!