dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
... Doctor of Letters (Honoris Causa).Mstaafu Dr Ally Hassan Mwinyi? Naye ana PhD? Mchana mwema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... Doctor of Letters (Honoris Causa).Mstaafu Dr Ally Hassan Mwinyi? Naye ana PhD? Mchana mwema
Alipewa ya nini? Alipewa wapi na lini🧐... Doctor of Letters (Honoris Causa).
Kesho atakuwa na mazungumzo na JK. Ya leo kiini macho
... taarifa zimo humu humu JF Chief; jiongeze kidogo ... Ali Hassan Mwinyi kupewa Phd na Open University (Honorary Doctor Of Letters D. Lett)Alipewa ya nini? Alipewa wapi na lini🧐
Ndiyo ujue kuwa nguvu ya mataga inatishaMstaafu Dr Ally Hassan Mwinyi? Naye ana PhD? Mchana mwema
DuuuuuuAtakuwa katumwa na mwanaye .... anajiandaa na 2030!!
Hapo ndiyo mataga watapasuka vibayaKesho atakuwa na mazungumzo na JK. Ya leo kiini macho
Open university ? Hapo sawa. Nilidhani alipewa na UDSM... taarifa zimo humu humu JF Chief; jiongeze kidogo ... Ali Hassan Mwinyi kupewa Phd na Open University (Honorary Doctor Of Letters D. Lett)
... kwanini unasema hivyo Chief?Open university ? Hapo sawa. Nilidhani alipewa na UDSM
Huyu mzee atafikisha miaka 100 na ushee bila shaka! Bado anaonekana ana nguvu za kutosha tu! Anatakiwa atuwekee diet yake ya kila siku ikibidi ili na sisi tumuenzi kwa vitendo!Taarifa kamili ya mazungumzo ya Viongozi hao imeambatanishwa hapo chini
Kwani UDSM si ndiyo walitoa Ile ya korosho au ?!Open university ? Hapo sawa. Nilidhani alipewa na UDSM
vipi kama amemsahau na mwanae ?😂, wana mambo mengi sana viongozi, Samia jana amesema "Rais Mag.." akitaka kumuita museveniAtakuwa katumwa na mwanaye .... anajiandaa na 2030!!
Huyu mzee wamuache apumzike tu hakuna anachojua zaidi ya kusifia. Alisema Magufuli anafanya kazi nzuri na anastahili kuongezewa muda. Huenda hakumbuki ka magu kafaTaarifa kamili ya mazungumzo ya Viongozi hao imeambatanishwa hapo chini
Kwa hivyo alichomekea hivi wewe nani vile?Uzuri wake akikwama huwa anauliza
Hana PhD bana, Ana diploma ya kiswahili!Mstaafu Dr Ally Hassan Mwinyi? Naye ana PhD? Mchana mwema
Hamna Mtanzania asiye taka kumuunga mkono Mh Rais, tatizo ni pale anaposhindwa kujipambanunua kuwa alikuwa msaidizi namba moja wa mwendazake. Wakati mwendazake ana chakufuliwa kakaa kimya kama hayuko na hasikii au anafurahia kimoyomoyo?! Ukweli ni kuwa Magufuli hawezi kuchafuliwa na walio tumikia naye wakafikiri watabaki salama. Spika anaona atabaki salama kwa kusema mwendazake alishauriwa vibaya ana sahau anayo skandali ya mabilioni ya matibabu ambayo ilikuwa ina hang somewhere ni suala la muda tu. Wakimaliza hii biashara yao kichaa ya kumpaka oil chafu mwendazake watamgeukia hili halihitaji akili kubwa kulijua. Alishauriwa na nani zaidi ya nyie mlio kuwa mnamzunguka na kufanyakazi pamoja naye?
Mbona Judge Mkuu hatumsikii akiendekeza haya mambo ya kusikitisha na kutaharisha yanayo endelea kwa sasa hapa Tanzania. Huyu amekuwa kiongozi mweledi siku zote. Hotuba aliyoitoa siku ya maziko pale Chato ni kielelezo tosha cha kiongozi mwenye hekima.
Wazee wamshauri huyu ahamie mhimili wa Excutive ifikapo 2025 atawafaa sana Watanzania/Tanganyika.
Hata watanzania wengi hatuelewi hapo ni wapi. Ikulu ya wapi - Dom au Dar?Mwinyi haelewi hata yuko wapi hapo.