Rais Samia Suluhu Hassan akutana na kufanya mazungumzo na Rais Mstaafu Ally Hassan Mwinyi

Rais Samia Suluhu Hassan akutana na kufanya mazungumzo na Rais Mstaafu Ally Hassan Mwinyi

Hamna Mtanzania asiye taka kumuunga mkono Mh Rais, tatizo ni pale anaposhindwa kujipambanunua kuwa alikuwa msaidizi namba moja wa mwendazake. Wakati mwendazake ana chakufuliwa kakaa kimya kama hayuko na hasikii au anafurahia kimoyomoyo?! Ukweli ni kuwa Magufuli hawezi kuchafuliwa na walio tumikia naye wakafikiri watabaki salama. Spika anaona atabaki salama kwa kusema mwendazake alishauriwa vibaya ana sahau anayo skandali ya mabilioni ya matibabu ambayo ilikuwa ina hang somewhere ni suala la muda tu. Wakimaliza hii biashara yao kichaa ya kumpaka oil chafu mwendazake watamgeukia hili halihitaji akili kubwa kulijua. Alishauriwa na nani zaidi ya nyie mlio kuwa mnamzunguka na kufanyakazi pamoja naye?

Mbona Judge Mkuu hatumsikii akiendekeza haya mambo ya kusikitisha na kutaharisha yanayo endelea kwa sasa hapa Tanzania. Huyu amekuwa kiongozi mweledi siku zote. Hotuba aliyoitoa siku ya maziko pale Chato ni kielelezo tosha cha kiongozi mwenye hekima.

Wazee wamshauri huyu ahamie mhimili wa Excutive ifikapo 2025 atawafaa sana Watanzania/Tanganyika.
Hata mm huwa namuona jaji mkuu kama mwenye upeo mzuri, lakin hataki katiba mpya.... Mtu wa fani ya sheria ndiye a natakiwa awe rais kwa sasa
 
Nilijua tuu pumba kama hizi haziwezi kukosekana.

Mama hawezi kua mrithi wa Maujinga ya Marehemu. Alishasema historia inakufuata kokote uendako hata kaburini historia yako itakufuata tuu.

Nae anazo taratibu zake za namna ya kuongoza na sio kumtetea marehemu mwenda zake.

Au nasema uongo ndugu zangu

Atakataa hakuwa Msaidizi namba moja wa JPM kwa mujibu wa Sheria ambayo ndiyo CAG aliyoitumia? Aukatae basi na Urais kama mambo ni rahisi kiasi hicho.
 
Mzee wetu, Babu yetu wa Taifa, hakika ni Hazina kubwa kwa Taifa letu.
Mungu aendelee kumtunza.

Kuwepo kwake tu billa hata kuongea ni nguvu tosha kwa Rais wetu Mama Samia pia tunamuombea Mungu amlinde na kila aina ya maaduni.
 
Hamna Mtanzania asiye taka kumuunga mkono Mh Rais, tatizo ni pale anaposhindwa kujipambanunua kuwa alikuwa msaidizi namba moja wa mwendazake. Wakati mwendazake ana chakufuliwa kakaa kimya kama hayuko na hasikii au anafurahia kimoyomoyo?! Ukweli ni kuwa Magufuli hawezi kuchafuliwa na walio tumikia naye wakafikiri watabaki salama. Spika anaona atabaki salama kwa kusema mwendazake alishauriwa vibaya ana sahau anayo skandali ya mabilioni ya matibabu ambayo ilikuwa ina hang somewhere ni suala la muda tu. Wakimaliza hii biashara yao kichaa ya kumpaka oil chafu mwendazake watamgeukia hili halihitaji akili kubwa kulijua. Alishauriwa na nani zaidi ya nyie mlio kuwa mnamzunguka na kufanyakazi pamoja naye?

Mbona Judge Mkuu hatumsikii akiendekeza haya mambo ya kusikitisha na kutaharisha yanayo endelea kwa sasa hapa Tanzania. Huyu amekuwa kiongozi mweledi siku zote. Hotuba aliyoitoa siku ya maziko pale Chato ni kielelezo tosha cha kiongozi mwenye hekima.

Wazee wamshauri huyu ahamie mhimili wa Excutive ifikapo 2025 atawafaa sana Watanzania/Tanganyika.

Jiwe aliingilia mihimili yote hata mahakama; Mpaka akawa anateua majaji kwenye mikutano ya hadhara!! Jaji Mkuu yuko kimyaaa huku akijua utaratibu ulikuwa unavunjwa! Hiyo sio sifa nzuri ya kiongozi.
 
Laiti ungejua hizi kesi zote zilikuwa zinatolewa maelekezo kwake na yeye anayatupa kwa watendaji basi usingemsifia kabisa Prof. Juma.

Ameharibu Judiciary vibaya mno, yaani mahakama inatoa maamuzi ya kisiasa kabisa na haikaripii kabisa utungwaji wa Sheria kandamizi. Watu wanakosa dhamana mahakamani kisa kukomoana tu, kosa la jinai ya kwenye penal code linageuka kuwa kosa la uhujumu uchumi, ukiuliza unaambiwa wacha aozee jela maana State Attorney wakiweka kosa la kwenye penal code anaonekana hafai.

Judge anapoona kuna sheria zinamlazimisha kutoa hukumu ambayo sio ya haki huwa anatoa hukumu lakini katika maoni yake binafsi (obiter dictum) huwa anashauri nini kifanyike, Ila hivi karibuni tumeona majaji waliojitoa akili kukazia hili ni wachache sana.

Magereza imejaa watu wamekosa dhamana kisa makosa ya kukomoana, mtu amekosa kulipa tax returns inageuka kesi ya uhujumu uchumi na anakosa bail sasa hiyo hela ya kulipa ataitoa wapi???? Na bail ni haki ya kikatiba kabisa imeorodheshwa kabisa kwenye bill of rights.

So hata Jaji Mkuu amezingua sana sema sababu hawezi kutimuliwa mpaka afikishe 65 au akiomba kupumzika na akikubaliwa na Rais.

Mahakama za yule wa tuhuma za mauji ya Kanumba ndio zilikuwa zikitoa haki. Kumbafu mkubwa.
 
Nimeshangaa sana kakutana na Mzee RUKHSA ambaye si ajabu aliuliza hapa wapi vile!? Akajibiwa Ikulu akasema oooohhhhh! Ikuluuuuuuu niliwahi kuishi hapa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sasa nimekuja hapa kufanya nini? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Mzee Ruksa katumika kama njia tu wengine wanafuata. Na watakuwa wamemlisha maneno ya kuongea. Kaanza vizuri kwa kuruhusu uzalilishwaji wa mwendazake?

Na waweke video clip tumsikie akiongea akiongea kama yule Waziri mrembo mjumbe wa Mwigae Kenyatta.
 
Hata mm huwa namuona jaji mkuu kama mwenye upeo mzuri, lakin hataki katiba mpya.... Mtu wa fani ya sheria ndiye a natakiwa awe rais kwa sasa

Jaji mkuu nduye asiyetaka katiba mpya? Mimi na fikiri ni yule asiyetaka miguvu na na mibavu kwenye kodi. Ila katiba mpya miguvu na mibavu itumike kuikalia. Bahati mbaya nimesahau kwa kilugha tabia ya aina hii huitwaje?
 
Jiwe aliingilia mihimili yote hata mahakama; Mpaka akawa anateua majaji kwenye mikutano ya hadhara!! Jaji Mkuu yuko kimyaaa huku akijua utaratibu ulikuwa unavunjwa! Hiyo sio sifa nzuri ya kiongozi.

Ukiteuliwa kwenye mkutano wa hadhara inamaanisha mchakato haukufuatwa? Hebu taja majaji walioko ambao hawana sifa za kuwa majaji. Hiki cheo na fikiri vigezo vyake ni international inclusive sio lokali tu.
 
Ngojea nione atachukua muda gani kukutana na mkwere (mshua ake riziwani)
 
Ukiteuliwa kwenye mkutano wa hadhara inamaanisha mchakato haukufuatwa? Hebu taja majaji walioko ambao hawana sifa za kuwa majaji. Hiki cheo na fikiri vigezo vyake ni international inclusive sio lokali tu.
Huyo Jaji aliepandishwa cheo kwenda mahakama ya Rufaa kwa kuandika judgement kwa Kiswahili; je huo Ndio utaratibu wa kupandishwa cheo katika mahakama? Sio siri kuwa kuna mahakimu [ wanajulikana] walipandishwa vyeo kwa kutoa hukumu kandamizi dhidi ya wapinzani wa ccm!
 
Hiyo taarifa ya Msigwa inachanganya , letter head inasema ikulu chamwino dodoma ,

Yeye kasaini Ikulu Dar es salaam.

Kwanini asitumie tu ile letter head ya ikulu inayoonesha , Barack Obama Road, DSM?? Tujue moja?
 
Huyo Jaji aliepandishwa cheo kwenda mahakama ya Rufaa kwa kuandika judgement kwa Kiswahili; je huo Ndio utaratibu wa kupandishwa cheo katika mahakama? Sio siri kuwa kuna mahakimu [ wanajulikana] walipandishwa vyeo kwa kutoa hukumu kandamizi dhidi ya wapinzani wa ccm!

Waliangalia kigezo hicho tu cha kuandika hukumu kwa kiswahili. Acha ujanja ujanja kama wa Spika Ndugai. Leo amnajidai itangazwe tender wakati aliwapigia chapuo Wachina kwa presentation yao. Contradiction baada ya contradiction nyengine. Ooh sijui wa Oman wanajenga bandari Zanzibar sasa si jambo la manufaa na afya hilo. Hakuna Mtanganyika anayetaka kulipa kodi yake halafu ikatumike kumnunulia Mzanzibari umeme, hakuna.

Kwa hatua hii nampongeza Mh Rais Mwinyi Jr. Makontena ya Malawi ,Congo yakifika bandarini Zanzabar bado yatahitaji kutumia miundo mbinu ya Tanganyika kufika final destinations zake. Kwa nini mwenye akili asimsupport Mh Rais Mwinyi jr kwa ubunifu huu ?
 
Waliangalia kigezo hicho tu cha kuandika hukumu kwa kiswahili. Acha ujanja ujanja kama wa Spika Ndugai. Leo amnajidai itangazwe tender wakati aliwapigia chapuo Wachina kwa presentation yao. Contradiction baada ya contradiction nyengine. Ooh sijui wa Oman wanajenga bandari Zanzibar sasa si jambo la manufaa na afya hilo. Hakuna Mtanganyika anayetaka kulipa kodi yake halafu ikatumike kumnunulia Mzanzibari umeme, hakuna.

Kwa hatua hii nampongeza Mh Rais Mwinyi Jr. Makontena ya Malawi ,Congo yakifika bandarini Zanzabar bado yatahitaji kutumia miundo mbinu ya Tanganyika kufika final destinations zake. Kwa nini mwenye akili asimsupport Mh Rais Mwinyi jr kwa ubunifu huu ?

Majibu yako hayaendani na nilichoandika kuhusu uhuru wa mahakama kuingiliwa!! Rais Mwinyi anakujaje hapo?
 
Majibu yako hayaendani na nilichoandika kuhusu uhuru wa mahakama kuingiliwa!! Rais Mwinyi anakujaje hapo?

Watanganyika wangekuwa na masharti kama ya Wachina ZESCO ingekuwa ni mali ya TANESCO sasa.
 
Yaani kwa kweli Ndungai katudhihirishia alivyo mnafiki. Mikataba yote nakala zake ziko ofisini kwake bungeni pamoja na huo wa bandari ya Bagamoyo kati ya serikali ya awamu ya nne na kampuni ya serikali ya China. Katika zoezi la kufuta mikataba mibovu ambayo nchi yetu ilikuwa imeingia na makampuni mbali mbali ya kimataifa yeye Ndungai alikuwa kati ya washauri wakuu wa serikali ya awamu hiyo ya tano. Leo anasema rais wa awamu ya tano walimshauri visivyo/ vibaya kufuta mkataba huo wa bandari ya Bagamoyo. Auweke basi wazi mkataba huo watanzania wausome na kama ni kweli walimshauri vibaya basi hao waliohusika kumshauri wawajibishwe. Mbona huyu Ndungai hasemi kuwa na hilo la makao makuu kuhamia Dodoma walimshauri vibaya. Kisa cha aliyekuwa CAG, Prof Asad kutimuliwa kila mtu anajua mbaya wake alikuwa Ndungai. Mbona hasemi kuwa alimshauri vibaya rais kumtimua Prof Asad kwenye nafasi hiyo? Hata kutimuliwa kwa Makonda ukuu wa mkoa kila mtu anajua Ndungai alihusika sana, na kadhalika.

Halafu hivyo viapo wanavyoapa wanapopewa madaraka hayo ya kutunza siri za nchi wanapokuwa madarakani na hata watakapoondoka madarakani, mbona sasa wanazikiuka wazi wazi? Wameanza kuropoka ovyo ovyo hadharani siri za ofisi (Ndungai, Asad, Kichere, Muhongo, Kigwangala nk). Nini adhabu yao kwa mjibu wa sheria zetu?
Unasema uongo mpaka unajidanganya mwenyewe! Hebu ongeza sauti kidogo...Ndugai alisababisha makonda akatimuliwa kazi? Are you serious?

Iko hivi, Ndugai kusema Magufuli alishauriwa vibaya kuhusu mradi wa Bandari ya Bagamoyo ni lugha ya staha tu kwa mwendazake. Angetaka kuweka ukweli wote hadharani angesema Magufuli alikuwa hashauriki lakini alichagua maneno ya kumstahi mwendazake.

Ndiyo! Magufuli alikuwa hashauriki. Na tatizo lake kubwa alikuwa anapenda kujua kila kitu.Matokeo yake hakujua,aliishia kuwa mjuaji tu.
Mfano mzuri ni lugha. Magufuli alikuwa anaweza kuongea lugha nyingi mno juujuu tu! Kwa undani,hakuna lugha aliyokuwa anaimudu. Siyo kisukuma,kiswahili wala kiingereza!
 
Back
Top Bottom