Rais Samia Suluhu Hassan akutana na kufanya mazungumzo na Rais Mstaafu Ally Hassan Mwinyi

Picha namba 1-2. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi ambaye alifika kumsalimia Rais Samia Nyumbani kwake jijini Dar es Salaam leo tarehe 12 Aprili, 2021​

Picha namba 3. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa katika mazungumzo na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi ambaye alifika kumsalimia Rais Samia Nyumbani kwake jijini Dar es Salaam leo tarehe 12 Aprili, 2021.

Picha namba 5. Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi akizungumza na Wanahabari mara baada ya mazungumzo yake na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan nyumbani kwake jijini Dar es Salaam leo tarehe 12 Aprili, 2021. PICHA NA IKULU.







 
Huyu mzee 'alimsifia' pia JPM; labda anamshawishi awe 'mama ruksa'!
 

Nilijua tuu pumba kama hizi haziwezi kukosekana.

Mama hawezi kua mrithi wa Maujinga ya Marehemu. Alishasema historia inakufuata kokote uendako hata kaburini historia yako itakufuata tuu.

Nae anazo taratibu zake za namna ya kuongoza na sio kumtetea marehemu mwenda zake.

Au nasema uongo ndugu zangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…